ACHA UROONGO! KUDHIBITI AU KUTODHIBITI HAKUHUSIANA NA MUBEZA KWENYE MITANDAO BRO! INDIA, UGANDA NA NCHI KADHAA WATU WAMEPIGWA HADI MIKWAJU KWA KUJARIBU KPUUZIA MARUFUKU ZILIZOTOLEWA! TZ HATUKUTOA MARUFUKU TULIKUWA TUNATOA TAHADHARI NA ANGALIZO.
Sasa nilichoongopa ni kipi au hujanielewa?
 
Let's call a spade as it is suppossed to be, and not a big spoon of its own kind as per value judgment of some ignorant people.

Madktari wanaongea kwa uwazi na kuthibitisha kisayansi kuhusu kuongezeka kwa tishio na changamoto hii ya gonjwa la mapafu hapa nchini hivi sasa. Wataalamu wa wizara ya afya wanaogopa na kukosa ujasiri wa kufanya hivyo. Sijui tatizo hata ni nini!

Hivi kuna heshima gani ktk kuficha maradhi? Je! Ni uzalendo kuficha maradhi yanatunyemelea kama taifa ili kimmfurahisha mtu mmoja mwenye mamlaka ya kikatiba juu yetu?
Mwenye macho haambiwi tazama. Tembelea hospitali zote kubwa hapa nchini utaona madaktari wanavyojikinga dhidi ya gonjwa hili. Akili za mbayuwayu changanya na zako.
 
Corona Ni ugonjwa wa propaganda

Zimbabwe wameshapoteza mawaziri 4 hadi sasa. Ndani ya wiki hii wamepoteza mawaziri 2. Wengine kadhaa wako hoi hospitalini na ugonjwa husika ni Corona.

Waswahili kwa ufasaha kabisa wanasema "mali bila daftari hupotea bila habari."

Rwanda hadi sasa wamepoteza takribani watu 150 na watu takribani 12,000 wamegua Corona tangia March mwaka jana ugonjwa huu ulipoingia. Katika hao zaidi ya 70% wamekufa ndani ya siku 50 tu zilizopita. Ambapo katika waliopatikana na ugonjwa huu, pia zaidi ya 70% wamepata ugonjwa huu ndani ya siku 50 tu zilizopita.

Anayekuwekea propaganda kwenye ugonjwa huu ni nani? Si huyu aliyepoka udhibiti wa ugonjwa huu tokea kwa wataalamu wa afya na kupiga marufuku uwepo wa takwimu zozote kuuhusu? Hivi bila takwimu sahihi tunajua vipi kama ugonjwa haupo, unakwisha au unasambaa?

Ugonjwa unakuwa propaganda hali watu wanakufa? Propaganda ipo kwenye Corona tu au ulipata kusikia ugonjwa mwingine wowote kuwa nao ni propaganda?

Bahati mbaya ugonjwa huu unaambukizwa katika namna ambayo si rahisi kuiepuka na unauwa. Laiti isingekuwa ni wa kuambukizwa hivi na mtu ingekuwa anaupata kwa ujinga wake mbona kwa hakika ingekuwa ni burudani tu.
 
Mkuu kuna majirani zako wowote wamekufa vifo vya kutatanisha?
Wewe baradhuli uliishajiuliza wanasemaje kuwa malaria inaongoza kwa vifo vingi nchini! Kwenye kaya yenu hakuna aliyekufa kwa malaria mwaka mzima. Vivyo hivyo kwenye mtaa wenu hakuna. Huna ndugu yako jirani au mbali aliyekufa kwa malaria mwaka mzima. Lakini bado malaria inaendelea kuongoza kwa vifo!

Unakuja kwenye jf kuuliza swali la kijinga kama hilo? Kisa unatetea mjinga fulani aliyetangaza tumemaliza corona! Ukimuuliza kwa njia au dawa gani hutopata jibu. Mara maombi mara fusho!. Ukiona ugonjwa unatibika kwa idadi kubwa ya dawa haujapata dawa!

Kuna magonjwa hutoweka kwa dawa baada ya siku saba na bila dawa baada ya juma moja. Dawa haikusaidia chochote. Hiyo si dawa si chochote. Magonjwa mengi ya virusi yako hivyo! Sijui kama wewe mjinga fulani unaelewa. Shiiiida

NB: Mtaarifu na bwege mwenzio kwa jina Massaiboi. Nadhani atakuwa ama mtwana wa masai au masai mtwana. Naye ati anaweka bandiko jf. Acheni ujinga!
 
Nakumbuka mwaka juzi 2019 mwishoni watu tuliumwa sana na hadi leo hatujajua ni nini kilikuwa chanzo, ila kama hali hiyo ingetokea mwaka jana hadi mwaka huu basi tungerahisisha tu kuwa ni corona.
Ndugu Ile ilikua yenyewe kwakua hatukujua,naoga saa tisa jioni unatetemeka mpaka nikaogopa leo nikikumbuka mafua makali kikohozi Cha njano naishiwa nguvu.

Sent from my Lenovo K10a40 using JamiiForums mobile app
 
bora wakae kimya tu maana presha wengine zitaludi kama mwanzo bora kudondoka mute mute..presha ni mbaya kuliko corona lenyewe.
 
Mmebaki kusema MTU WANGU WA KARIBU kama ni kweli kwa nini usianike ukweli hapa jamii ielewe.

Hii kauli ni dalili tosha kuthibitisha umbea!
Sasa ni dhahiri wewe ni mpumbavu. Kila kitu ameanika wazi kabisa. Ameeleweka vizuri sana. Tashwishwi haikubaki hata chembe. Bado unaleta upumbavu wako ukiuita bandiko! Hizi sampuli zako humu jf mnatafuta nini hasa? You're a foolish skunk!
 
Ndugu yangu hao ni timu ''wapumbavu''. Kama alivyo baba yao kichwani hamna kitu. Ni wa kupuuza kwani hawana upeo wa kuwaza futi moja mbele.
 
Mwenzenu kaenda kujificha kwao a.k.a Paradiso ya Bongo, Kama alivyofanya COVID19 ikipoibuka March 2020
Maisha ya rais siku zote ni ya kujificha tu hata akiwa Dodoma au Dar maisha yake ndio yaleyale na shughuli zake ndio zilezile hata akiwa kwingineko.
 
bora wakae kimya tu maana presha wengine zitaludi kama mwanzo bora kudondoka mute mute..presha ni mbaya kuliko corona lenyewe.
Na huu ugonjwa unaogopeka kuliko hata wenyewe ulivyo kiuhalisia,hatari ya huu ugonjwa ni jinsi unavyoambukiza ila wanaopona ni wengi kuliko wanaokufa ni tofauti na Ebola ila pia corona bado haijafikia idadi ya vifo vya magonjwa kama malaria hadi muda huu.
 
Back
Top Bottom