Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Hakuna dhamira ya dhati kuanzia kwa wabunge,serikalini mpaka Raisi!
Kitendawiliii....tegaaa
Mwepesi kufichua mwepesi kununulikaaa..nani huyooo...
Pastor Achachanda
Porojo tu!
Huyo mbunge ni mpuuzi. Hiyo hela ni ya ccm na zitarudi kabla ya uchaguzi wa 2015.
Nauona umuhimu wa ZZK
Usimsahau na Mbowe pia yumo.
Wanatamani wakamlambe miguu Zitto.
Mbowe mavi mbiwilimbwili saiv aka yanagonga ukuta.
Huyo mbunge ni mpuuzi. Hiyo hela ni ya ccm na zitarudi kabla ya uchaguzi wa 2015.
Usimsahau na Mbowe pia yumo.
Nauona umuhimu wa ZZK
ZZK alisema atawataja katika Bunge hili, I hope bado anaoujasiri wa ki CHADEMA.
Umuhimu upi unaouona wewe wakati wajanja wameisha muingiza mjini na yeye kafungua akaunti huko huko.
Kumbe kuleta kote hii thread lengo lako ndio hili, tambua umenoa ndugu kwani mwisho wa siku hata kama Mbowe atakuwa kaweka fedha huko watatakiwa wote waeleze walikozipata hapo ndio mtafaruku utakapo anzia kwani wengine wanafedha kuliko umri wao na haijulikana wamezipata wapi.
Zitto kaingia Choo cha KIKE kwani kwa sakata hili hata yeye hachomoki.
Unajifurahisha tu kuandika huu upu-mbavu
weweUsimsahau na Mbowe pia yumo.
Kamanda mbona jingi? Unajua kwanini Zitto anashughulikiwa na waliomo na wasiomo?