Serikali isipobadilisha Sera zake 2020-2025 watu wengi watakosa ajira

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Naiomba serikali yangu sikivu iangalie upya Sera zake maana kule tunaenda kama Sera hazito badilika hali itakuwa mbaya sana.

Ikumbukwe Kwa SASA secta binafsi imepunguza kuajiri na walio kuwepo Wana punguzwa. Na makampuni mengi yanasubiri uchaguzi upite wapunguze watu hiyo sio Siri.

Sera ya ujenzi inauwa secta nyingine za biashara na kuacha watanzania wengi bila ajira au kupunguzwa. Kipimo kizuri cha ukuwaji uchumi ni kila secta Kuwa imara na sio secta moja Tu ina Kuwa imara Yani madini na ujenzi. What about afya, banks,kilimo,uvuvi ,usafirishaji nk.

Mikoa isio Kuwa na ujenz wanaishije? Pesa zote zikae BOt je bank za bihashara Zita create VIP pesa ikiwa pesa yote ikae BOT . Duniani kote hakuna bank isio nufaika na pesa ya serikali na sio nufaika Tu Ila pia kupitia pesa hizo watu wanapata mikopo Rahisi SASA watu wako wamekwambia fungia pesa yote BOT what next? Zile pesa ndogondogo za tozo za halmashauri zote zina ends BOT je watu walikaa nakujuwa side effect ya hili?

Angalieni mmebana matumizi side effect umeharibu purchase power PP ya wananchi Jambo limevuruga mnyororo wote wa bihashara na mwisho kampuni kubwa punguza watu.

Badilisheni Sera watanzania wengi watarudi mtaani na itakuwa kilio kikuu kwetu sote.
 
Naiomba serikali yangu sikivu iangalie upya Sera zake maana kule tunaenda kama Sera hazito badilika hali itakuwa mbaya sana.

Ikumbukwe Kwa SASA secta binafsi imepunguza kuajiri na walio kuwepo Wana punguzwa. Na makampuni mengi yanasubiri uchaguzi upite wapunguze watu hiyo sio Siri.

Sera ya ujenzi inauwa secta nyingine za biashara na kuacha watanzania wengi bila ajira au kupunguzwa. Kipimo kizuri cha ukuwaji uchumi ni kila secta Kuwa imara na sio secta moja Tu ina Kuwa imara Yani madini na ujenzi. What about afya, banks,kilimo,uvuvi ,usafirishaji nk.

Mikoa isio Kuwa na ujenz wanaishije? Pesa zote zikae BOt je bank za bihashara Zita create VIP pesa ikiwa pesa yote ikae BOT . Duniani kote hakuna bank isio nufaika na pesa ya serikali na sio nufaika Tu Ila pia kupitia pesa hizo watu wanapata mikopo Rahisi SASA watu wako wamekwambia fungia pesa yote BOT what next? Zile pesa ndogondogo za tozo za halmashauri zote zina ends BOT je watu walikaa nakujuwa side effect ya hili?

Angalieni mmebana matumizi side effect umeharibu purchase power PP ya wananchi Jambo limevuruga mnyororo wote wa bihashara na mwisho kampuni kubwa punguza watu.

Badilisheni Sera watanzania wengi watarudi mtaani na itakuwa kilio kikuu kwetu sote.
Bora kidogo kwenye ujenzi wameruhusu sekta binafsi ila huko kwingine bado.

Pia Rais aliwaambia mawaziri walete sheria zilizopitwa na wakati ziboreshwe.

NChi hii kuna makanuni mengi Sana useless,waturuhusu tulime bangi kibiashara na kuwe na exporters.
 
Pia kuna mimasharti mingi ya udhibiti unnecessary,makodi makubwa ya VAT,huko kwenye sekta ya misitu,uvuvi na mifugo ndio hatari tupu.

Mitaasisi kibao ya kulipia pesa badala kuwe na window moja tuu.
 
Back
Top Bottom