OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,309
Kwa kifupi
Kwa vigezo vilevile vilivyotumiwa kutokuruhusu watoto waliodungwa mimba mashuleni kwamba kurudishwa mashuleni kutachochea uzinzi. Kuna haja sasa ya serikali hii ya awamu ya tano kupiga marufuku ugawaji bure wa ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI kwa kuwa inachochea uzinzi.
Magufuli atoe tamko kila mtu abaki na mkewe/mumewe, na hakuna kufanya ngono nje ya ndoa. Kwa kuwa vitabu vya dini zote vimekataza uzinzi, hivyo serikali itumie kigezo hicho kwa sababu hakina tofauti kabisa na kigezo ilichotumia kwa wanafunzi wa kike
Nadhani nimeeleweka
Kwa vigezo vilevile vilivyotumiwa kutokuruhusu watoto waliodungwa mimba mashuleni kwamba kurudishwa mashuleni kutachochea uzinzi. Kuna haja sasa ya serikali hii ya awamu ya tano kupiga marufuku ugawaji bure wa ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI kwa kuwa inachochea uzinzi.
Magufuli atoe tamko kila mtu abaki na mkewe/mumewe, na hakuna kufanya ngono nje ya ndoa. Kwa kuwa vitabu vya dini zote vimekataza uzinzi, hivyo serikali itumie kigezo hicho kwa sababu hakina tofauti kabisa na kigezo ilichotumia kwa wanafunzi wa kike
Nadhani nimeeleweka