Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 117
- 230
Nafuatilia hapa mkutano wa Rais Samia na viongozi wa vyama 19 vya siasa nchini amekiri wazi kuwa Serikali ipo tayari kuanza na kamati itakayoshauri Katiba ya Watanzania.
Rais ameshauri wakati mchakato huo ukiwa unaendelea uwe mchakato cool and humble na mchakato uanze kwenye marekebisho ya katiba ya Watanzania.
Rais ameshauri wakati mchakato huo ukiwa unaendelea uwe mchakato cool and humble na mchakato uanze kwenye marekebisho ya katiba ya Watanzania.