tuwe wakweli kwa mwelekeo wa nchi wa sasa ni sawa na kama hatuna serikali. ukiona watu kama rostam wanakuwa na nguvu hivi ujue taasisi za umma zimekufa. ndio maana ili kuficha udhaifu jk anadanganya kuna udini kwamba anaandamwa kwa sababu ya dini yake. ukiona migomo, maandamano, matatizo ya kupanda sana bei ya vitu, matatizo ya umeme na kukosa mtu wa ku provide leadership ujue tunaelekea kuwa a failed state. mashaka yangu ni kwamba tz leo hatuna statesman anayeweza kuzungumza tukamsikiliza. wakati wa mzee