Serikali ipige marufuku uagizaji magari kwa miaka mitano tu, tuone kama havianzishwi viwanda

Demand is the mother of all inventions, Huawei alivyopigwa ban kutumia android akaanza kudevelop OS yake, kuona hivyo google wakaamua marekani wakaondoa ban, maana angekija kuwazidi.
Kweli kabisa Mr, but tatizo ni kuwa nchi nyingi za kiafrika hazijiamini, tukianzia ngazi ya mtu mmoja mmoja, familia na hata taifa. Hii ndio inatufanya tunabakia kuwa bara moja dumavu sana tofauti na Asia ya sasa.
 
Bandiko lina hoja ila hoja inatokana na kukosa uelewa:
1. Unajua Tz inamiaka mingapi toka iweke vikwazo kwa raw hides$skins export?, kunakiwanda cha ngozi kimejengwa? Umeona jinsi ngozi zinavyooza na kutupwa?
2: unajua kwanini tunaagiza sukari kutoka nje?. Ni kwasababu sukari ya nje ni cheeper than locally produced; but why?. Similary; locally made/ assembled vehicles will be comparstively expensive, but, why? Umeme wa generetor viz a viz nuclear.................. and many more




Labda hujajiuliza kwanini bei ya korosho ikiwa ulaya ni ndogo kuliko ukiinunua mtwara.....
Mkuu upo sahihi sana. Na pia hivi ulishawahi kuona kitu rahisi au chenye ghalama ndogo kukidhi vilivyo mahitaji na afya ya mtumiaji? Mfano TBS wanategemea kupata vifaa vya kupimia ubora toka nchi za nje huku nchi hizo hizo ndio wadau wakubwa wa kutuletea bidhaa nyingi ambazo zitapimwa na bidhaa vifaa vyao vya kupimia ubora😎 Mkuu tunakufa sana. Muhimu ni kwamba kwanza kuamini vitu vyetu vya ndani, kuongeza uzalishaji, ubora na mikakati mingi ya kukuza soko la ndani. Kuhusu viwanda nadhani ndio sera kuu ya serikali yetu ya awamu hii hivyo vyanzo vya umeme na miundombinu mingine ndio chachu na njia ya kuanza sasa safari ya maendeleo makubwa kama yalivyo maono ya mwanzisha nyuzi hii Mr.
 
!
!
Japokuwa kuna faida ya kutengeneza vitu nchini, katika dunia hii ya sasa hivi haijalishi kiwanda kiko wapi ila kiwanda ni cha nani na kinanufaishaje wananchi walio wengi. Mfano zipo mbuga au sijui vitalu huko ambapo wananchi hawaruhusiwi kwenda......ipo hotel zanzibar nasikia ni ya waitaliano tupu, tena waitaliano weupe.
kwa hiyo kiwanda kipo wapi haijalishi sana japo ina faida yake
 
 
Back
Top Bottom