Ni ukweli usio na shaka kuwa mwaka huu kunaweza kukawa na baa la njaa hapa kwetu Tanzania.
Mvua hakuzinyesha za kutosha na maeneo mengi nchini mavuno ya nafaka yatakuwa kidogo sana. Mikoa yote ya kanda ya ziwa hali ni mbaya, hasa hasa Mara na Mwanza.
Mfano Geita kwa sasa debe moja la mahindi ni Tsh 15000-20000.
Mchele pia bei yake imepaa sana, imefikia hadi 80000 kwa gunia la mpunga moja, hapa ni kwa Geita.
Serikali ifanye utafiti wa hali ya chakula nchini, ikibidi izuie kuuzwa kwa mazao ya chakula nje ya nchi hadi hapo itakapo ona hali ya mavuno iko vema.
Hayo ni maoni yangu na ka Elimu uchwara kangu, wasomi na wenye dhamani walitizame kisomi, waache Civics katika hili.
Mvua hakuzinyesha za kutosha na maeneo mengi nchini mavuno ya nafaka yatakuwa kidogo sana. Mikoa yote ya kanda ya ziwa hali ni mbaya, hasa hasa Mara na Mwanza.
Mfano Geita kwa sasa debe moja la mahindi ni Tsh 15000-20000.
Mchele pia bei yake imepaa sana, imefikia hadi 80000 kwa gunia la mpunga moja, hapa ni kwa Geita.
Serikali ifanye utafiti wa hali ya chakula nchini, ikibidi izuie kuuzwa kwa mazao ya chakula nje ya nchi hadi hapo itakapo ona hali ya mavuno iko vema.
Hayo ni maoni yangu na ka Elimu uchwara kangu, wasomi na wenye dhamani walitizame kisomi, waache Civics katika hili.