pambe samanini
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 368
- 169
Kuna taarifa kuwa kutakuwa na ukaguzi wa vyeti toka primary hadi elimu waliyonayo watumishi wa umma. Napenda toa rai kwa serikali kupeleka vyeti hivi mashuleni ili kupunguza usumbufu.
Hivi sasa walimu wakuu wa shule tulizosoma wanasema ' serikali iliacha kutoa vyeti hivyo, kwa maana hiyo havipo'. Je watumishi hawa watavipata wapi? Tusaidiane
Hivi sasa walimu wakuu wa shule tulizosoma wanasema ' serikali iliacha kutoa vyeti hivyo, kwa maana hiyo havipo'. Je watumishi hawa watavipata wapi? Tusaidiane