Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,263
- 9,880
Hawa machinga wanatutafutia ugomvi sisi wafanyabiashara wa maduka.
Kumbuka Wenye Fremu wanalipa Kodi TRA tutashindwa kulipa Kodi kwa style hii.
Serikali waliangalie hili Jambo kwa upana zaidi.
Hapa mteja anapita wapi kuja dukani wakati duka halionekani Kodi za pango ni zaidi ya milioni kwa mwezi tunapata shida Sana kufanya biashara.
Kumbuka Wenye Fremu wanalipa Kodi TRA tutashindwa kulipa Kodi kwa style hii.
Serikali waliangalie hili Jambo kwa upana zaidi.
Hapa mteja anapita wapi kuja dukani wakati duka halionekani Kodi za pango ni zaidi ya milioni kwa mwezi tunapata shida Sana kufanya biashara.