Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 882
- 1,029
Ni mwaka wangu wa tano nimekuwa nikikata bima kwa ajili ya gari yangu na kwa kipindi chote hicho sijawahi kupata ajali ya aina yoyote, Zaidi ya kuyanufaisha makampuni ya bima. Bima yenyewe haitumiki hata kughalimia service ya gari.
Kinachonishangaza ni kwanini Serikali iweke ulazima wa bima kwenye magari na vifaa vya moto, maana vifaa hivyo vikisababisha ajali bima inaangalia kifaa na si afya binadamu aliyasababishwa ajali, majeruhi na hata kuhudumia mazishi yanayotoakana na vifo.
Nashauri Serikali ipitie upya sheria inayolazima matumizi ya bima kwenye vyombo vya moto na iweke ulazima katika bima ya afya ya inayohudumia afya na uhai wa mtu.
Maisha ya binadamu ni muhimu kuliko chombo cha moto.
Kinachonishangaza ni kwanini Serikali iweke ulazima wa bima kwenye magari na vifaa vya moto, maana vifaa hivyo vikisababisha ajali bima inaangalia kifaa na si afya binadamu aliyasababishwa ajali, majeruhi na hata kuhudumia mazishi yanayotoakana na vifo.
Nashauri Serikali ipitie upya sheria inayolazima matumizi ya bima kwenye vyombo vya moto na iweke ulazima katika bima ya afya ya inayohudumia afya na uhai wa mtu.
Maisha ya binadamu ni muhimu kuliko chombo cha moto.