Ni jambo la kushangaza sana kuona serikali wanapata uwezo wa kusema wataleta madaktari kutoka nje kwa kuwalipa mihela kibao(zaidi ya bil. 200) huku wakishindwa kuwalipa madaktari wa nchini.Hii iawezekana vipi?Au ndo kama alivyosema dogo Aslay kwamba nyumbani baba kamwachia mama buku huku kishtobe akikamua kuku.Kweli serikali tunayo