Serikali ingetangaza vita na Kikosi cha usalama barabarani kwanza kabla ya madereva

Anold

JF-Expert Member
Jul 15, 2010
1,456
614
Pamoja na Serikali kutangaza vita na madereva wazembe lakini ninahakika kuwa hiyo vita hawawezi kushinda maana vyombo vinavyosimamia usalama barabarani vinaudhaifu mkubwa katika suala zima la kusimamia sheria ya usalama barabarani.

Tabia ya kuendekeza rushwa na mpango mbaya wa kazi kwa kiasi kikubwa ndiyo huchangia madereva kutojali. Baadhi wa Askari wa kikosi cha usalama barabarani hutumia nafasi yao hiyo ya kazi ili kuomba rushwa na kuneemeka. Hivyo bila kutafuta muarobaini wa askari hao itakuwa ni maneno tu ya kujazia vifungu kwenye bajeti ila hakuna kitakachobadirika. madereva wanauhakika kuwa hata wakivunja sheria hakuna baya litakalowapata labda dereva atake mwenyewe hivyo mzee Mkulo tuimbie wimbo mwingine huo ushaimbwa sana kuendelea kurudia ni kupoteza muda.
 
Serikali haina loloooote. Utaniambia ni hatua gani zimefikiwa katika hilo
 
Very weird way of planning for a country. Fine kuwa sehemu ya chanzo cha mapato ya nchi, ina maana wananchi wanaofanya makosa wakireform kutakuwa na nakisi katika makadirio ya matumizi.

Ikiwa hivyo ina maana mapolisi wataanza kushika innocent people ili kupunguza hiyo nakisi na kama hiyo itatokea basi tutakuwa tunavunja rule of law.

Labda, tuangalie upande mwingine. Inakuaje kama huridhiki na notification iliyotolewa, je utakuwa na haki ya kukata rufaa? Maana hali ilivyo sasa polisi anaanza kuchukua leseni halafu anmachukua kadi ya gari na baadae ndio anakubook kwa kosa.

Katika mazingara haya upende usipende utalipa notification na hutarudishiwa vitu vilivyochukuliwa mpaka ulipe notification.
 
Very weird way of planning for a country. Fine kuwa sehemu ya chanzo cha mapato ya nchi, ina maana wananchi wanaofanya makosa wakireform kutakuwa na nakisi katika makadirio ya matumizi.

Ikiwa hivyo ina maana mapolisi wataanza kushika innocent people ili kupunguza hiyo nakisi na kama hiyo itatokea basi tutakuwa tunavunja rule of law.

Labda, tuangalie upande mwingine. Inakuaje kama huridhiki na notification iliyotolewa, je utakuwa na haki ya kukata rufaa? Maana hali ilivyo sasa polisi anaanza kuchukua leseni halafu anmachukua kadi ya gari na baadae ndio anakubook kwa kosa.

Katika mazingara haya upende usipende utalipa notification na hutarudishiwa vitu vilivyochukuliwa mpaka ulipe notification.

Hizo ni baadhi ya kero zinazowapata wananchi hata ukionewa huna jinsi
 
Very weird way of planning for a country. Fine kuwa sehemu ya chanzo cha mapato ya nchi, ina maana wananchi wanaofanya makosa wakireform kutakuwa na nakisi katika makadirio ya matumizi.

Ikiwa hivyo ina maana mapolisi wataanza kushika innocent people ili kupunguza hiyo nakisi na kama hiyo itatokea basi tutakuwa tunavunja rule of law.

Labda, tuangalie upande mwingine. Inakuaje kama huridhiki na notification iliyotolewa, je utakuwa na haki ya kukata rufaa? Maana hali ilivyo sasa polisi anaanza kuchukua leseni halafu anmachukua kadi ya gari na baadae ndio anakubook kwa kosa.

Katika mazingara haya upende usipende utalipa notification na hutarudishiwa vitu vilivyochukuliwa mpaka ulipe notification.

Unachosema ndicho nilichosema kwenye trhead yangu nyingine. Kwamba ku rise faini si dawa ya kuzuia utendaji makosa ila ni kuongeza mapato ya serikali, na hapa ndipo ninakuja na maswali kwamba kama hakuna aliyekosea si mapato ya serikali yatapungua? na hapo ndio watu watalazimishwa makosa ili walipe fine tu. Tuna serikali iliyojaa vichaaaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom