Serikali ingefanya Utafiti ingegundua watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu na songesha

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
Kodi ya SALIO

Hapa serikali ilipaswa kufanya utafiti ingegundua kuwa watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu,songesha, na nyingine za kukopa kupitia makampuni ya simu..yaani wananchi hawana uwezo wa kununua hata vocha hasa baada ya sekta binafsi kugandamizwa na awamu ya tano! Watu kushindwa kuwasiliana ni aina nyingine ya ubaguzi!

Kamwe mawasiliano hayawezi kuwa anasa

Kama mapendekezo ya serikali yakipitishwa na bunge dhaifu,basi simu itawekwa salio kwa wiki mara moja tena salio la jero! Itakuwa mwendo wa tafadhali nipigie!

Hawa jamaa wanaturudisha enzi zile vocha zinauzwa kwa dhamani ya dola...hadi leo vocha zinaitwa dola

Hebu fikiria VOCHA ikitengenezwa kampuni inalipia kodi,ikipelekwa kwa mteja inalipiwa kodi, ukiweka kwenye simu unalipia kodi.Mwendo wa kodi juu ya kodi sasa vocha ya jero itakuwa na dakika nne au pungufu ili kulipia kodi,yaani mwendo wa kodi juu ya kodi na juu ya kodi.

Wizara ya fedha na mipango inapaswa kuibua vyanzo vyenye tija kwa TAIFA na maslahi kwa umma na sio kukamua kile kidogo cha mvuja jasho.Mfano wangeweka tozo/kodi kwenye posho za waheshimiwa Wabunge,au wangepunguza kwa 50% posho na marupurupu ya wabunge na viongozi wa serikali

Waziri wa fedha aliwahi kujitamba kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza,zile tambo zote zilikuwa kwa ajili hii ya kutoza airtime kodi?

Mawasiliano na MIAMALA sio ANASA kwa Ulimwengu wa sasa,tena eneo hili ilitakiwa kodi iwe affordable zaidi ili kuchochea matumizi ya uwekaji na utoaji fedha kwa kufanya MANUNUZI na malipo kwa njia ya miamala sio Taslimu,hii ingepunguza kabisa black money kwenye mzunguko na hivo kukuza uchumi

Kwa hizi kodi zinazopendekezwa watu watarudi kwenye mfumo wa malipo Cash jambo ambalo ni hatari kwa ukuaji wa uchumi

Bahati mbaya sana Dodoma kuna praise team hakuna bunge la kuishauri au kuisimamia serikali, pale ni kikao cha kijani ambacho kazi yake ni kugonga meza tu!
 
Mwigulu amekosa ubunifu kabisa, Uchumi daraja la kwanza ni kwenye makaratasi tu!
Mama hapo amecheza galasha.Siioni kukua kwa Uchumi kwa bajeti hiyo iliyosomwa.
 
Kodi ya SALIO

Hapa serikali ilipaswa kufanya utafiti ingegundua kuwa watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu,songesha, na nyingine za kukopa kupitia makampuni ya simu..yaani wananchi hawana uwezo wa kununua hata vocha hasa baada ya sekta binafsi kugandamizwa na awamu ya tano! Watu kushindwa kuwasiliana ni aina nyingine ya ubaguzi!

Kamwe mawasiliano hayawezi kuwa anasa


Kama mapendekezo ya serikali yakipitishwa na bunge dhaifu,basi simu itawekwa salio kwa wiki mara moja tena salio la jero! Itakuwa mwendo wa tafadhali nipigie!

Hawa jamaa wanaturudisha enzi zile vocha zinauzwa kwa dhamani ya dola...hadi leo vocha zinaitwa dola

Hebu fikiria VOCHA ikitengenezwa kampuni inalipia kodi,ikipelekwa kwa mteja inalipiwa kodi, ukiweka kwenye simu unalipia kodi.Mwendo wa kodi juu ya kodi sasa vocha ya jero itakuwa na dakika nne au pungufu ili kulipia kodi,yaani mwendo wa kodi juu ya kodi na juu ya kodi


Wizara ya fedha na mipango inapaswa kuibua vyanzo vyenye tija kwa TAIFA na maslahi kwa umma na sio kukamua kile kidogo cha mvuja jasho.Mfano wangeweka tozo/kodi kwenye posho za waheshimiwa Wabunge,au wangepunguza kwa 50% posho na marupurupu ya wabunge na viongozi wa serikali

Waziri wa fedha aliwahi kujitamba kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza,zile tambo zote zilikuwa kwa ajili hii ya kutoza airtime kodi?

Mawasiliano na MIAMALA sio ANASA kwa Ulimwengu wa sasa,tena eneo hili ilitakiwa kodi iwe affordable zaidi ili kuchochea matumizi ya uwekaji na utoaji fedha kwa kufanya MANUNUZI na malipo kwa njia ya miamala sio Taslimu,hii ingepunguza kabisa black money kwenye mzunguko na hivo kukuza uchumi

Kwa hizi kodi zinazopendekezwa watu watarudi kwenye mfumo wa malipo Cash jambo ambalo ni hatari kwa ukuaji wa uchumi

Bahati mbaya sana Dodoma kuna praise team hakuna bunge la kuishauri au kuisimamia serikali, pale ni kikao cha kijani ambacho kazi yake ni kugonga meza tu!
Tulisema mwigulu hafai kuwa waziri, Leo hii anasema hahitaji kupendwa na watanzania wote eti watu was jimboni kwake wanatosha

Hajui Kodi zinazompa kiburi ni za watanzania wote!
 
Tuwe wazalendo jamani tulipe kodi ili tusiwe wategemezi na tuweze kupatiwa maendeleo bora na hii itasaidia watu kuona nchi za wenzao ni bora kuliko kwao wakati hao anawasifia kila kinachofanyika kodi inakatwa na husikii wakilalamika.
 
Mi siku zote nasemaga Mwigulu sio mtu mzuri. Na siku akichukua nchi itakuwa afadhali ya Magufuli. Mtakumbuka maneno yangu
 
Tulisema mwigulu hafai kuwa waziri, Leo hii anasema hahitaji kupendwa na watanzania wote eti watu was jimboni kwake wanatosha

Hajui Kodi zinazompa kiburi ni za watanzania wote!
Fatili migogoro ya wafanya biashara na serekali kainzisha yeye tangu akiwa naibu wazi kwenye hii wizara ukienda badarini leo mizigo itatozwa 100% ni yeye hizi mashine za EFD ni yeye kazianzisha bwana yule ofu ya Mungu hana Dunia inafanya mizunguko yake bure tunapata usiku na mchana tunapata majira tunapata hewa mwingulu anatozwa bei gani na Mungu kuchangia Dunia kufanya kazi yake mtu anakuja na mawazo ya ajabu Mungu angekua na raho kama ya Zungu na Mwingulu binadamu kwenye uso wadunia wangekuope wachache sana
 
Fatili migogoro ya wafanya biashara na serekali kainzisha yeye tangu akiwa naibu wazi kwenye hii wizara ukienda badarini leo mizigo itatozwa 100% ni yeye hizi mashine za EFD ni yeye kazianzisha bwana yule ofu ya Mungu hana Dunia inafanya mizunguko yake bure tunapata usiku na mchana tunapata majira tunapata hewa mwingu anatozwa bei gani na Mungu kuchangia Dunia kufanya kazi yake mtu anakuja na mawazo ya ajabu Mungu angekua na raho kama ya Zungu na Mwingulu binadamu kwenye uso wadunia wangekuope wachache sana
Fanya kazi hakuna nchi duniani wafanyabiashara hawalipi kodi,EFD duniani kote zipo hatuwezi kujitenga na dunia halafu tuwe tunailaumu serikali haileti maendeleo .Tunachotakiwa ni kudai kuwa kodi zipunguzwe na itumike njia sahihi ya kudai hiyo kodi.
 
Impact ya kuajiri watu TRA kwa vigezo vya kujuana, Hakuna THINK TANK

Rais aliposema kupanua wigo wa Kodi, wao wakadhani Ni kumkamua zaidi mwananchi.

TRA wameongeza Kodi kwenye vyakula kiholela. Tangu January mafuta ya Kula yamepanda, Spaghetti zimepanda Bei, Ngano imepanda Bei, n.k

Kuongeza wigo wa Kodi lazima itokane na Biashara mpya. Vijana wa Kitanzania wawezesheshwe kufungua biashara mpya. Pamoja na Biashara mpya za vijana pia, foreign direct investment.

Utalii, kupunguza tozo/park fees, na airport landing fees. ..watalii wataongezeka na kipato kitaflow na kustimulate biashara zingine.

Badala yake mwaka 2018 Serikali iliwapora vijana hela zao za mafao ..kwa kuondoa FAO LA KUJITOA. ili wapate Pesa kujenga madaraja.

Sasa vijana watajiajiri vipi?

Sioni BAVICHA Wala UVCCM wakiongelea hizi changamoto za vijana.
 
Fanya kazi hakuna nchi duniani wafanyabiashara hawalipi kodi,EFD duniani kote zipo hatuwezi kujitenga na dunia halafu tuwe tunailaumu serikali haileti maendeleo .Tunachotakiwa ni kudai kuwa kodi zipunguzwe na itumike njia sahihi ya kudai hiyo kodi.
Ndio, Kodi ya haki

Na kwa Nini tujitenge na Dunia?

Ukilima Mahindi, ukavuna gunia 1000, utayala yote?

Lazima tuuze kwa majirani
 
Fanya kazi hakuna nchi duniani wafanyabiashara hawalipi kodi,EFD duniani kote zipo hatwezi kujitenga na dunia halafu tuwe tunailaumu serikali haileti maendeleo .Tunachotakiwa ni kudai kuwa kodi zipunguzwe na itumike njia sahihi ya kudai hiyo kodi.
Kalipe wewe na mumeo kodi za kubambikana,Dunia gani umeenda ukakuta ujinga kama huu nitajia hizo nchi za dunia tuzijue sio unaongea jumla jumla wakati hata mia huna Nchigani wabunge na viongozi wa serekali hawalipi kodi kama sio hapa kwetu kazio yao kutubambikia sisi kodi
 
Kalipe wewe na mumeo kodi za kubambikana,Dunia gani umeenda ukakuta ujinga kama huu nitajia hizo nchi za dunia tuzijue sio unaongea jumla jumla wakati hata mia huna Nchigani wabunge na viongozi wa serekali hawalipi kodi kama sio hapa kwetu kazio yao kutubambikia sisi kodi
Sijawahi kuona mhehe mjinga nadhani wewe ndio wa kwanza umeshindwa hata kusoma hiyo sentensi yangu ndogo na kuielewa?
 
Back
Top Bottom