Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Hii ndio kwel ukiwa mtoza ushuru wa TRA mishahara ni minono, cjui labda kwa sababu ni genge la walaji kwa ajil ya ndugu zao. Kwan hapo TRA hata uwe na 1st class na experience kama huna mjomba huku juu hunusi pale ikiwa ni pamoja na BOT, EWURA and the like