Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Wakati NEC wanapiga marufuku kuongea maneno ya siasa kwenye mikutano ya kampeni za kisiasa nchini, tunaendele kujiuliza tu, hivi kwenye mikutano hiyo wanataka tukaongee maneno gani, au wanataka tukahubiri Injili kwenye mikutano ya kampeni za kisiasa?
Huku ndiko nchi yetu ilikofika sasa ndani ya kipindi cha miaka miwili tu ya huyu JPM.
Wakati huohuo TAMISEMI nao tayari wameshatangaza kuwa ni marufuku kwa Halmashauri yoyote hapa Tanzania kuendesha mambo yake kwa "UWAZI" mbele ya wananchi na wamesisitiza kuwa Halmashauri yoyote ile itakayofanya hivyo itafutiwa usajili wake.
Tundu Lissu alisema, "Dikteta Uchwara akimaliza kushughulika na sisi Wabunge, atazigeukia Mahakama zetu, baada ya hapo atarudi kwenu maana lengo lake ni kuwa mtawala kama ilivyo kwa Rwanda na Uganda kwa Madikteta wenzake badala ya kuwa kiongozi wa watu. Hakuna atakayepona na hakuna aliye salama".
NEC na TAMISEMI ni Idara nyingine mpya za CCM ya Magufuli zilizoanza kupokea maagizo kutoka juu baada ya kufanikiwa kuwateka Polisi, Bunge na Mahakama ili kuendelea kutimiza azma ya JPM ya kutaka kuminya uhuru wa watu kujieleza na kutoa maoni yao katika kuukosoa utendaji mbovu wa serikali hii ya Hapa Chato Tu.
Mwanahabari Huru
Huku ndiko nchi yetu ilikofika sasa ndani ya kipindi cha miaka miwili tu ya huyu JPM.
Wakati huohuo TAMISEMI nao tayari wameshatangaza kuwa ni marufuku kwa Halmashauri yoyote hapa Tanzania kuendesha mambo yake kwa "UWAZI" mbele ya wananchi na wamesisitiza kuwa Halmashauri yoyote ile itakayofanya hivyo itafutiwa usajili wake.
Tundu Lissu alisema, "Dikteta Uchwara akimaliza kushughulika na sisi Wabunge, atazigeukia Mahakama zetu, baada ya hapo atarudi kwenu maana lengo lake ni kuwa mtawala kama ilivyo kwa Rwanda na Uganda kwa Madikteta wenzake badala ya kuwa kiongozi wa watu. Hakuna atakayepona na hakuna aliye salama".
NEC na TAMISEMI ni Idara nyingine mpya za CCM ya Magufuli zilizoanza kupokea maagizo kutoka juu baada ya kufanikiwa kuwateka Polisi, Bunge na Mahakama ili kuendelea kutimiza azma ya JPM ya kutaka kuminya uhuru wa watu kujieleza na kutoa maoni yao katika kuukosoa utendaji mbovu wa serikali hii ya Hapa Chato Tu.
Mwanahabari Huru