tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Waziri wa Mambo ya nje, mh Membe amewaomba wanaotuhumiwa kuhusika na kashfa ya rada kujitokeza hadharani na kujisafisha kwa wananchi.
My take: Yawezekana Tanzania ikawa nchi pekee duniani isiyoweza kuchukua hatua stahiki kwa wezi wa mali ya umma hata kama wanafahamika na ushahidi uko wazi.
Source: Magazeti ya leo.
My take: Yawezekana Tanzania ikawa nchi pekee duniani isiyoweza kuchukua hatua stahiki kwa wezi wa mali ya umma hata kama wanafahamika na ushahidi uko wazi.
Source: Magazeti ya leo.