Je, Mwalimu au Mtumishi yeyote wa Serikali anahitaji ruhusa ya Mwajiri kusafiri nje ya nchi akiwa likizo?

Ni hivi naamini kama una taarifa juu ya mfumo wa kiutumishi wa Lawson, kila mtumishi taarifa zake zimo kwenye hiyo system!

So, taarifa zako za kitumishi zimeunganishwa na taarifa za Kitambulisho cha taifa na taarifa za Passport!

Hivyo basi Afisa uhamiaji akiingiza namba yako ya passport tuu anapata taarifa zako zote za kiutumishi na kitambulisho cha taifa, so atajua kama wewe ni mtumishi wa wapi, unatoka mkoa na mtaa gani na n.k!
Asante kwa kunielewesha mkuu.
 
Ni hivi naamini kama una taarifa juu ya mfumo wa kiutumishi wa Lawson, kila mtumishi taarifa zake zimo kwenye hiyo system!

So, taarifa zako za kitumishi zimeunganishwa na taarifa za Kitambulisho cha taifa na taarifa za Passport!

Hivyo basi Afisa uhamiaji akiingiza namba yako ya passport tuu anapata taarifa zako zote za kiutumishi na kitambulisho cha taifa, so atajua kama wewe ni mtumishi wa wapi, unatoka mkoa na mtaa gani na n.k!
ila mkuu kwa watumishi wengine wa mlango wa nyuma inakuwaje??
 
Yaani kaacha kufundisha watoto wa masikini kaenda kusalimia ndugu ughaibuni!??
Utaratibu wa Ruhusu ya kusafiri nje ya kituo cha kazi upo wazi na wa kutoka nje ya nchi upo wazi ....sasa yeye kama alikuwa na kiburi na akaamua kukiuka acha yamkute.
Hata kuishi North Korea ni nafuu kuliko utawala wa jiwe
 
Juzi nilikua Airport kumsindikiza Mshkaji wangu aliyekuwa akielekea Nairobi baada ya kuja kunitembelea.

Baadae nikamuona dada mmoja anavutia simjui na simfahamu kabisa, ilionesha anasafiri nje ya nchi. Kama kawaida kaingia ndani baadae namuona anatoka akiwa frustrated analia na ni kama hajielewi nikajisogeza kuuliza kulikoni dada au umekutwa na nyara za Magufuli?

Akasema hapana, wamenikatalia kusafiri kwa sababu mie mtumishi wa Serikali. Nikamuuliza unafanya ofisi gani? Akajibu Mwalimu wa shule ya msingim

Maafisa uhamiaji wanamwambia apeleke barua ya ruhusa na anavyodai yeye anakwenda kumsalimia ndugu yake Ulaya nchi hakutaja, ameghalimiwa kila kitu na huyo nduguye na visa anayo lakini hakuweza kuondoka

Wadau kuna haja gani kumzuia kusafiri mtu anakwenda kutembea na atarudi!? Kipindi cha likizo hiki? Kutoka nje ya nchi ni kosa gani kwenye Katiba yetu?

Siku ile nilichukia sana japo kuwa sikufanyiwa mimi..
Hata kutoka tu kwenye kituo chako cha kazi lazima uage kwa Boss wako itakuwa kusafiri nje, na huyo teacher anajua sana kajitoa tu ufahamu
 
Nachojua na kinachotakiwa kufuatwa ni lazima katika likizo yake angesema kama atasafiri na paia angeomba kibali cha kusafiria nje kwenda kwa katibu wake, Vibali vinapatikana kwa urahisi tu mbona, anaandika barua kwa Katibu wake mkuu kuomba hiyo ruhusa ya kusafiri nje ya nchi withn few days tu atapata kibali toka Ikulu, Serikali lazima ijue mtumishi wake wa serikali hata kama yuko likizo atakuwa wapi? je ikitokea kazi ya dharura na wewe ndio mtu muhimu na Likizo yako umejaza unaenda mkoani kumbe hauko mkoani na ukafa huko je utalipwaje stahiki zako? awe mpole tu huyo dada akajaze kibali cha Kusafiri nje kwenye mtandao.
 
Juzi nilikua Airport kumsindikiza Mshkaji wangu aliyekuwa akielekea Nairobi baada ya kuja kunitembelea.

Baadae nikamuona dada mmoja anavutia simjui na simfahamu kabisa, ilionesha anasafiri nje ya nchi. Kama kawaida kaingia ndani baadae namuona anatoka akiwa frustrated analia na ni kama hajielewi nikajisogeza kuuliza kulikoni dada au umekutwa na nyara za Magufuli?

Akasema hapana, wamenikatalia kusafiri kwa sababu mie mtumishi wa Serikali. Nikamuuliza unafanya ofisi gani? Akajibu Mwalimu wa shule ya msingim

Maafisa uhamiaji wanamwambia apeleke barua ya ruhusa na anavyodai yeye anakwenda kumsalimia ndugu yake Ulaya nchi hakutaja, ameghalimiwa kila kitu na huyo nduguye na visa anayo lakini hakuweza kuondoka

Wadau kuna haja gani kumzuia kusafiri mtu anakwenda kutembea na atarudi!? Kipindi cha likizo hiki? Kutoka nje ya nchi ni kosa gani kwenye Katiba yetu?

Siku ile nilichukia sana japo kuwa sikufanyiwa mimi..
Hawaruhusiwi tena kusafiri.Atulie tu nchini kujenga nchi
 
Wamemuonea barua/fomu yake ya ruhusa ni tosha kabisa kumruhusu kwenda nje ya nchi.Labda kama alishindwa kuwaonesha nyaraka za likizo yake.
 
Hata kutoka tu nje ya wilaya unayofanyia kazi lazima uombe ruhusa, ukibainika umekiuka lazima utoe maelezo ya kina. Na kutoka nje ya nchi inabidi ujaze form ya maombi all in all sheria lazima zifuatwe hakuna namna imeshakua hivyo.
 
Juzi nilikua Airport kumsindikiza Mshkaji wangu aliyekuwa akielekea Nairobi baada ya kuja kunitembelea.

Baadae nikamuona dada mmoja anavutia simjui na simfahamu kabisa, ilionesha anasafiri nje ya nchi. Kama kawaida kaingia ndani baadae namuona anatoka akiwa frustrated analia na ni kama hajielewi nikajisogeza kuuliza kulikoni dada au umekutwa na nyara za Magufuli?

Akasema hapana, wamenikatalia kusafiri kwa sababu mie mtumishi wa Serikali. Nikamuuliza unafanya ofisi gani? Akajibu Mwalimu wa shule ya msingim

Maafisa uhamiaji wanamwambia apeleke barua ya ruhusa na anavyodai yeye anakwenda kumsalimia ndugu yake Ulaya nchi hakutaja, ameghalimiwa kila kitu na huyo nduguye na visa anayo lakini hakuweza kuondoka

Wadau kuna haja gani kumzuia kusafiri mtu anakwenda kutembea na atarudi!? Kipindi cha likizo hiki? Kutoka nje ya nchi ni kosa gani kwenye Katiba yetu?

Siku ile nilichukia sana japo kuwa sikufanyiwa mimi..
Mtumishi akiwa anakwenda nje ya nchi, hata asiporudi tena, inahusu nini serikali?
 
Yaani kaacha kufundisha watoto wa masikini kaenda kusalimia ndugu ughaibuni!??
Utaratibu wa Ruhusu ya kusafiri nje ya kituo cha kazi upo wazi na wa kutoka nje ya nchi upo wazi ....sasa yeye kama alikuwa na kiburi na akaamua kukiuka acha yamkute.
Ujinga huu!
 
Mlizoea kuishi kama mpo nightclub au casino ..sasa hivi mnafunzwa kuishi kama Mpo ndani ya kanisa au msikiti na hayo ndio maisha sahihi.
Hao wanaotufundisha ndio wanaozaa nje ya ndoa mpaka naxwaje za watu? Bahati hatuabudu shetani!
 
Inashauriwa kuwa na serikali ndogo yenye kufanya kazi kwa weledi na tija.....haya yote ni kutokana na ukubwa wa serikali. Watu wanafanya kazi kinafiki/rushwa kwa sana ili kumchafulia JPM.
 
Back
Top Bottom