real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Waziri wa ufugaji na uvuvi Luhaga Mpina katika mahojiano na Azam Tv amesema serikali inashikilia ng'ombe 9,500 kutoka nchi jirani katika mikoa ya Kagera na Kigoma, katika operesheni inayoendelea
Mifugo hao watapigwa mnada enapo wahausika hawatajitokeza kuwalipia faini
Amesema uhusiano na nchi jirani hautayumba kwa sababu kitendo cha kuingiza mifugo nchini ni kinyume na sheria na uhusiano wa nchi mbili hauvunjwi na wztu wasiofuata sheria
Chanzo: Azam Tv
Mifugo hao watapigwa mnada enapo wahausika hawatajitokeza kuwalipia faini
Amesema uhusiano na nchi jirani hautayumba kwa sababu kitendo cha kuingiza mifugo nchini ni kinyume na sheria na uhusiano wa nchi mbili hauvunjwi na wztu wasiofuata sheria
Chanzo: Azam Tv