Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Miaka mingi imepita serikali nchini ya uongozi wa ccm kuwanyima na kuwakataza wananchi kutumia ziwa victoria kupata kitoweo muhimu samaki kwakuwapa wawekezaji wakishirikiana na polisi mamlaka ya kuwakataza wananchi kuvua samaki huku wakisingizia eti wabongo unafanya uvuvi alamu.
Katika harakati la kutekeleza hayo doria na misako ilianza vijijini hasa vilivyo karibu na ziwa, kwenye masoko au magurio pamoja na ziwani.
Nikilitokea mpaka leo tunaskitika na kubaki maskini na kuliangalia ziwa kama rahana kwetu.
Kupitia hizo oparetion mfano kwetu BK tuliita KAYUNGI kwakuwa jamaa aliyekuwa mstari wambele arijulikana hivyo
1.Ajira zimepungua hasa kujiajiri
2.Vifo vya wavuvi hasa majini sababu ya purukushani
3.Umaskini umeongezeka hasa wa kipato
4.Kupanda gharama za mboga
5.Wananchi kugeuka wanyama wala mabaki scavanger(MAPANKI)
6.Wavuvi kupata vilema vya kudumu sababu ya kupigwa
7.Ongezeko la ualifu kwani ajira hamna
8.Familia kutengana au kutelekezwa kwani maisha magumu
9.School drop-out kwani wazazi hawamudu mahitaji ya shule
10.Kuwazalilisha wananchi kwa kupigwa na kula mapanki
11.Ukiukwaji wa haki za raia na binadam
JE HAYA YAENDELEE AU YAKOME NA NANI WAKUWAJIBIKA NA KUWAJIBISHWA KWA HAYA.
Nawasilisha
Katika harakati la kutekeleza hayo doria na misako ilianza vijijini hasa vilivyo karibu na ziwa, kwenye masoko au magurio pamoja na ziwani.
Nikilitokea mpaka leo tunaskitika na kubaki maskini na kuliangalia ziwa kama rahana kwetu.
Kupitia hizo oparetion mfano kwetu BK tuliita KAYUNGI kwakuwa jamaa aliyekuwa mstari wambele arijulikana hivyo
1.Ajira zimepungua hasa kujiajiri
2.Vifo vya wavuvi hasa majini sababu ya purukushani
3.Umaskini umeongezeka hasa wa kipato
4.Kupanda gharama za mboga
5.Wananchi kugeuka wanyama wala mabaki scavanger(MAPANKI)
6.Wavuvi kupata vilema vya kudumu sababu ya kupigwa
7.Ongezeko la ualifu kwani ajira hamna
8.Familia kutengana au kutelekezwa kwani maisha magumu
9.School drop-out kwani wazazi hawamudu mahitaji ya shule
10.Kuwazalilisha wananchi kwa kupigwa na kula mapanki
11.Ukiukwaji wa haki za raia na binadam
JE HAYA YAENDELEE AU YAKOME NA NANI WAKUWAJIBIKA NA KUWAJIBISHWA KWA HAYA.
Nawasilisha