TRA amkeni kuna hela nyingi zinapotea kwa wanaofanya biashara kwa mtandao na kufanya delivery, watu hawa wanaongoza kwa kukwepa kodi.
Imeshanitokea mara mbili, mara ya kwanza niliagiza TV yenye thamani ya tshs 1, 300, 000/= jamaa alioileta rist iliandikwa laki nne nikamgomea nikamwambia sitaipokea hadi nimepate risiti iliyoandikwa kiwango nitakacholipia na mara ya mwisho juzi tu kwenye kampuni nyingine pia utaratibu ulikuwa uleule.
Kifaa nilichoagiza kina thamani ya tshs 94, 000/ safari hii rist iliandikwa 5, 000/= . Nikamwambia aondoke na mzigo wake siku ya pili alinipigia simu na kuniambia amepata risiti hivyo aniletee mzigo nikamwambia sihitaji tena.
Hii biashara ni ya hovyo sana.
Imeshanitokea mara mbili, mara ya kwanza niliagiza TV yenye thamani ya tshs 1, 300, 000/= jamaa alioileta rist iliandikwa laki nne nikamgomea nikamwambia sitaipokea hadi nimepate risiti iliyoandikwa kiwango nitakacholipia na mara ya mwisho juzi tu kwenye kampuni nyingine pia utaratibu ulikuwa uleule.
Kifaa nilichoagiza kina thamani ya tshs 94, 000/ safari hii rist iliandikwa 5, 000/= . Nikamwambia aondoke na mzigo wake siku ya pili alinipigia simu na kuniambia amepata risiti hivyo aniletee mzigo nikamwambia sihitaji tena.
Hii biashara ni ya hovyo sana.