PRODA LTD
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,005
- 1,333
Serikali ya Tanzania inapoteza kodi ya sh. bilioni 6 kwa kila mwezi kwa kuzuia uuzaji na uzalishaji wa viroba bila kufuata. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzuia uuzaji na uzalishaji wa viroba nchini wafanyakazi zaidi 600 wamepoteza ajira.
Wafanyabiashara zaidi 100 wamepata hasara kubwa sana pia serikali imepata hasara ya kupoteza kodi ya sh bilioni 6 kwa kila mwezi mmoja.
Wafanyabiashara zaidi 100 wamepata hasara kubwa sana pia serikali imepata hasara ya kupoteza kodi ya sh bilioni 6 kwa kila mwezi mmoja.