Serikali inapaswa sasa kuwekeza JamiiForums

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,217
Awali ya yote nimshukuru Mungu kwa kutupa neema kufika siku ya leo. Pia niishukuru JamiiForums kurudi hewani japo nimeona kwa siku imekuwa haipo hewani tumekosa fursa kubwa na imeturudisha sana nyuma kiuchumi hasa kwa wale wanatumia mtandao huu kama sehemu ya biashara.

Baada ya hayo mimi nilikuwa na ombi moja kubwa kwa Serikali juu ya mtandao huu. Kiukweli hakuna nchi yeyote haina hub of information ambayo hutumika kwa shughuli nyingi nyeti za kitaifa.

JamiiForums kiukweli inaitajika serikali kuwekeza kwa sababu maalum zakiufanisi ktk utendaji kaz na usalama wa taifa. Unajuwa facebook na whatsap n sehemu Serikali za wenzetu wanaweka pesa zao kwa sababu maalum na kiukweli wamefanikiwa. Facebook imeteka dunia na dunia ipo facebook why?

Hapo ndipo unajuwa faida ya hizi wabsite.
Unapoona watu wa serikal za wenzetu wanafanya vitu fulan ktk mitandao ya kijamii tuna kitu cha kujifunza na kufanyia kazi.
 
Ikiwekeza JF basi Watu tutachomeshana mahindi humu, makaburi yataukuliwa hayo balaa..

Ingefaa zaidi kama Asasi binafsi ,NGOs mbalimbali ndio ziwekeze ..lkn sio kuja kuruhusu serikali iwe ya CCM au CHADEMA kua namkono ndani yake.

Mara mia serikalo waanzishe Mtandao jamii wao pia.
 
Naomba nikuambie hakuna mtandao unaosomwa na wakubwa kama huu na ushahidi ninao sema tuu ni vile hawataki kujionyesha lakini amini hivyo
Naomba niishie hapo..
 
Awali ya yote nimshukuru Mungu kwa kutupa neema kufika siku ya leo. Pia niishukuru JamiiForums kurudi hewani japo nimeona kwa siku imekuwa haipo hewani tumekinkosa fursa kubwa na imeturudisha sana nyuma kiuchumi hasa kwa wale wanatumia mtandao huu kama sehemu ya biashara.

Baada ya hayo mimi nilikuwa na ombi moja kubwa kwa Serikali juu ya mtandao huu. Kiukweli hakuna nchi yeyote haina hub of information ambayo hutumika kwa shughuli nyingi nyeti za kitaifa.

JamiiForums kiukweli inaitajika serikali kuwekeza kwa sababu maalum zakiufanisi ktk utendaji kaz na usalama wa taifa. Unajuwa facebook na whatsap n sehemu Serikali za wenzetu wanaweka pesa zao kwa sababu maalum na kiukweli wamefanikiwa. Facebook imeteka dunia na dunia ipo facebook why?

Hapo ndipo unajuwa faida ya hizi wabsite.
Unapoona watu wa serikal za wenzetu wanafanya vitu fulan ktk mitandao ya kijamii tuna kitu cha kujifunza na kufanyia kazi.


Ni muhimu sana serikali iipe suport jamiiforum ili ipate nafasi yakukua baadaye iwe mtandao bora zaidi hapa Africa labda hata Duniani. (Hapa nazungumzia kuondoa vikwazo visivyo na umuhimu na siyo serikali kumiliki jamiiforum). Hata facebook, instagram nk zilianza kidogo kidogo.

Ni muhimu tuheshimu na kuthamini juhudi kubwa sana zinazofanywa na watanzania wenzetu kuwasaidia wananchi kwa mambo ya msingi kama elimu, biashara, afya, hadi kuongeza kipato cha serikali.

Kama kuna taarifa ambazo si kwa ukweli serikali itumie watu wake kukanusha na kuweka taarifa sahihi kama serikali zingine zinavyofanya. Tafuta watu waliobobea kufanya hiyo kazi, Kuhusu Matusi ya members iongee na JF kuzingatia zaidi maadili yetu na kutoa adhabu stahiki.

Mchango wa JF hapa Tanzania ni mkubwa sana kuanzia kwenye ajira, kodi kwa serikali kutokana na dili zinazofanywa humu, elimu, afya hadi social sphere, kuwaunganisha watanzania, hapa Tanzania, dunia nzima, kwenye kila sector, kila jambo.

Ni muhimu serikali pia isikilize maoni ya Jamiiforum wana uzoefu mkubwa kwenye mambo ya mitandao.
 
Naomba nikuambie hakuna mtandao unaosomwa na wakubwa kama huu na ushahidi ninao sema tuu ni vile hawataki kujionyesha lakini amini hivyo
Naomba niishie hapo..
Weka ushahidi kidogo...wakubwa wa idara ipi hiyo??
 
Awali ya yote nimshukuru Mungu kwa kutupa neema kufika siku ya leo. Pia niishukuru JamiiForums kurudi hewani japo nimeona kwa siku imekuwa haipo hewani tumekosa fursa kubwa na imeturudisha sana nyuma kiuchumi hasa kwa wale wanatumia mtandao huu kama sehemu ya biashara.

Baada ya hayo mimi nilikuwa na ombi moja kubwa kwa Serikali juu ya mtandao huu. Kiukweli hakuna nchi yeyote haina hub of information ambayo hutumika kwa shughuli nyingi nyeti za kitaifa.

JamiiForums kiukweli inaitajika serikali kuwekeza kwa sababu maalum zakiufanisi ktk utendaji kaz na usalama wa taifa. Unajuwa facebook na whatsap n sehemu Serikali za wenzetu wanaweka pesa zao kwa sababu maalum na kiukweli wamefanikiwa. Facebook imeteka dunia na dunia ipo facebook why?

Hapo ndipo unajuwa faida ya hizi wabsite.
Unapoona watu wa serikal za wenzetu wanafanya vitu fulan ktk mitandao ya kijamii tuna kitu cha kujifunza na kufanyia kazi.
Siafiki.

Serikali ikiwekeza, itakuwa na control fulani. Ikiwa na control, itaharibu JF kama chombo cha kuikosoa serikali.

Katika wiki chache ambazo JF haikuwa hewani, kuna forums mbadala ziliibuka, mojaya maswali yaliyoulizwa ni kwamba, kwa jinsi gani hizo forums ziko independent na hazitarubuniwa na serikali kutoa taarifa za watu.

JF ni forum inayojulikana jinsi ilivyosimama kidete kulinda taarifa za wanachama wake. Serikali ikijiingiza JF huo ndio utakuwa mwisho wa msimamo huo.

Nchi yetu ina ufinyu wa uhuru wa habari ambazo hazina hofu ya kuminywa na serikali.JF ni kati ya vyombo vichache sana vyenye uhuru kwa kiasi fulani. Ukiiweka serikali JF utaharibu uhuru huo.

Kama serikali inatakiwa kuwa na hub of information, ianzishe yake.
 
Siafiki.

Serikali ikiwekeza, itakuwa na control fulani. Ikiwa na control, itaharibu JF kama chombo cha kuikosoa serikali.

Katika wiki chache ambazo JF haikuwa hewani, kuna forums mbadala ziliibuka, mojaya maswali yaliyoulizwanikwamba, kwa jinsi gani hizo forums ziko independent na hazitarubuniwa na serikalikutoa taarifa za watu.

JF ni forum inayojulikana jinsi ilivyosimama kidete kulinda taarifa za wanachama wake. Serikaliikijiingiza JF huo ndio utakuwa mwisho wa msimamo huo.

Nchi yetu ina ufinyu wa uhuru wa habari ambazo hazina hofu ya kuminywa na serikali.JF ni katiya vyombo vichache sana vyenye uhuru kwa kiasi fulani. Ukiiweka serikali JF utaharibu uhuru huo.

Kama serikali inatakiwa kuwa na hub of information, ianzishe yake.
Salaam mkuu karibu tena
 
Back
Top Bottom