Serikali inapaswa kuhakikisha makanisa yote yaliyochomwa yanajengwa upya.

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Serikali imeonyesha udhaifu mkubwa ktk kuwataja hao mharamia.Badala ya kuwataja kwa jina wamewaita WAHUNI wakati wanajulikana ni waislam na wao wanajiita waislam ha hadi sasa wanatambulika km waislam.Sijui nini kimefanya wawe sehemu ya kudanganya dunia.

Pamoja na hayo yote serikali inahitaji kujua kuwa makanisa yanahitajika kujengwa upya.Sababu za msingi ni hizi:

-Kwanza kutojenga makanisa kunamaanisha tayari ni hatua kubwa kupinga vita Ukristu.watakuwa wametimiza taratibu za nchi za kiislam kuwa kanisa likiteketezwa si ruksa kujenga lingine bila kibali.Sasa km wakristu wa kule ni masikini hapatakuwa na tofauti na sheria hizi za nchi za kiislam.

-kanisa Ni mali na ina wenyewe ambao ni waumini na mamlaka yao na kisheria wanstahili fidiwa sasa hao
"wahuni walioitwa ili waonekane hawawezi lipa" inabidi waonje chachu ya kulipa otherwise serikali inabidi itumie hel aya wapiga kodi kulipia maharamia.Hao wan uamsho misikiti yao itoe hela ya kujenga kanisa ili waone jinsi walivyo wapuuzi.

-Pia serikali ijue haki ya kikatiba ya kuabudu kwa hao waumini wasio na makanisa yao kwa sasa imeondolewa.

PIA NASHAURI SERIKALI IMWITE MBUZI NI MBUZI NA SI MBUZI KUWA MUHUNI.
 
Serikali ya Zanzibar, lazima iandae utaratibu ambao utakataza nyumba ya ibada kujengwa isipokuwa baada ya kupata vibali maalumu na kukubaliwa na wananchi wa eneo husika.

Haingii akilini kanisa la waumini 1000 likajengwa kwenye eneo lenye waumini 5.

Au unasemaje mtoa mada? hii italeta amani na utulivu.
 
UNA UWEZEKANO MKUBWA CCM IKAWA CHANZO CHA KUCHOMWA MAKANISA ILI KUWAGAWA WATANZANIA,WALIANZA KWA KUWAPAKA MATOPE CUF BAADA YA KUUNGANA NAO WAKAHAMIA CHADEMA ETI UDINI WAKASHINDWA SASA UKASKAZINI NINA WASIWASI KUNA MKONO WA CCM:israel:
 
Serikali ya Zanzibar, lazima iandae utaratibu ambao utakataza nyumba ya ibada kujengwa isipokuwa baada ya kupata vibali maalumu na kukubaliwa na wananchi wa eneo husika.

Haingii akilini kanisa la waumini 1000 likajengwa kwenye eneo lenye waumini 5.

Au unasemaje mtoa mada? hii italeta amani na utulivu.
-katiba inaruhusu.N aujue dini ni kama biashara, inabidi ugundue new and emerging markets so kama kanisa linaweza kaa ktk watu watano linasurvive then kuna progress, lazima hao waumini ni potential otherwise kuna wazanzibar wanaukimbia uislam.Na kwa waanzilishi ni mafanikio ktk dini yao.Na kueneza dini ni jukumu hata la waislam ndio maana pia wanakimbilia nchi za Kikristu kupat awafuasi na wakipata wanafurahi.Ila waislam wanapata shida kueneza dini bila msaada wa dolar , vizuizi kwa wengine.Ndio maana Saudi arabia hawataki hata asiyekuwa muislam kuingia, ktk miji mikuu ya dini, na wala kujenga nyumba za ibada, ila wao wanatoa hela nyingi sana kujenga misikiti hadi mingine haina muumini kila mahali duniani.

-Pia uje ujenzi unategemea na wapi kinapatika kiwanja cha kutosha then waumini watasafiri kuelekea kule.

-Pia ujue kuna misikiti bara sehemu hakuna waislam 5, ktk mita 700radius ila na watu wanachukia kelele za loud speaker ila hawachagui option ya mashambulizi.Kuna sehemu inaweza kuwa misikiti hata 6 na imejaa warangi wa kuazima.

-Wasioleta amani watakuwa na shida.The issue ni kwamba waislam wanapata shida ku define fairnes, rule of law, na reliogious freedom km watu wengine wanavyotafsiri.Ndio maana inakuwa taabu sana ,wao wakikosewa wanachukua sheria mkononi haraka, ila wao wakitenda visivyo, hata watawala wenye imani za kiislam wanakuwa wagumu kupata concept.Kwa mfano kinachotokea wameitwa wahuni badala ya waislam, waliosema walisema kwa nia ya kuficha ,kudanganya watu kwa maslahi ya dini,ila wanasahau hao hao wanaodanganywa wanapata tafsiri hiyi kuwa wafuasi hao ni wauni ni ideology yao ni uhuni.


Zanzibar wana shida kimitizamo na watu wengine,zipo taasisi zilianzisha mafunzokwa vijana ktk computer, ktk uchonaji kwa wanawake, uchoraji etc ila zilishindwa pamoja na kuwa walipeleka hela nyingi sana.Na wale watu hawakuelewa sana tatizo nini?Hata walipojaribu wabembeleza na kufuata mila zao bado wazanzibar wamekuwa unstable, unreliable and not serious in more crucial things.Zanzibar itaendelezwa na watu wa nje tena si kwa kuwashirikisha wao bali kwa kufanya mwenyewe na kuwafanya wafanyakazi wa pili,ili walipwe tuu bila wategmea ktk ufanisi.
 
Serikali bado haijaamka nakuona kuwa makanisa yale yote yaliyochomwa inabidi yajengwe , ili hawa wapuuzi wajue kuwa wameleta hasara na wafikie kujiuliza hasara na faida.

Rais ajue pia kuwa uhuni wa viongozi tena waliopo ktk serikali na vitaasisi vyao vya mfukoni vilivyopewa wapambe ili kukimbilia kila deal waliwahi waacha waislam Sausi Arabia serikali haikuchukua muda toa hela za walipa kodi ambao wengi ni makafir.kwani hao ndio wanaopiga Ze laga, wanauza ze kitmoto, wanafanya kazi full day , etc.Ila hawa walipa Jizyya wanachomewa sehemu zilizowapasa kwenda omba Mungu wao anayewafundisha jinsi gani ya kufanya kazi nakulipa kodi ya kuwatunza waumini ambao WAPO VERY FREE kiasi cha kuwa bored na maisha hivi,hadi kuona hakuna haja ya kuishi zaidi wala kuwekeza.Kweli uvivu ni tatizo,akili zinahamia ktk uovu ,watu wanapoteza thamani ya uhai na maisha.cha kushangaza hawa bdio viongozi wa kiroho wa watawala wetu.

Watawala wameshindwa kemea au kuona kuwa vyote vinastahili fidiwa ingawa wamesamehewa bure,ila haki ya kuabudu kwa waumini imefungwa, na kukosa kanisa ni kutimiza yatokeayo ktk nchi za mashariki ya kati.Kuwa kanisa likibomboka au kubomolewa kujenga ni kibali, na mara nyingi yanazuia ili finally yawe yameisha.SO SERIKALI INAPASWA JUWA LAZIMA WAHAKIKISHE KUWA YOTE YANARUDI IKIBIDI HATA KWA KUUZA MALI ZAMISKITI HUSIKA.hata wakipandisha vichaa.
 
Serikali bado haijaamka nakuona kuwa makanisa yale yote yaliyochomwa inabidi yajengwe , ili hawa wapuuzi wajue kuwa wameleta hasara na wafikie kujiuliza hasara na faida.

Rais ajue pia kuwa uhuni wa viongozi tena waliopo ktk serikali na vitaasisi vyao vya mfukoni vilivyopewa wapambe ili kukimbilia kila deal waliwahi waacha waislam Saudi Arabia serikali haikuchukua muda toa hela za walipa kodi ambao wengi ni makafir.kwani hao ndio wanaopiga Ze laga, wanauza ze kitmoto, wanafanya kazi full day , etc.Ila hawa walipa Jizyya wanachomewa sehemu zilizowapasa kwenda omba Mungu wao anayewafundisha jinsi gani ya kufanya kazi nakulipa kodi ya kuwatunza waumini ambao WAPO VERY FREE kiasi cha kuwa bored na maisha hivi,hadi kuona hakuna haja ya kuishi zaidi wala kuwekeza.Kweli uvivu ni tatizo,akili zinahamia ktk uovu ,watu wanapoteza thamani ya uhai na maisha.cha kushangaza hawa bdio viongozi wa kiroho wa watawala wetu.

Watawala wameshindwa kemea au kuona kuwa vyote vinastahili fidiwa ingawa wamesamehewa bure,ila haki ya kuabudu kwa waumini imefungwa, na kukosa kanisa ni kutimiza yatokeayo ktk nchi za mashariki ya kati.Kuwa kanisa likibomboka au kubomolewa kujenga ni kibali, na mara nyingi yanazuia ili finally yawe yameisha.SO SERIKALI INAPASWA JUWA LAZIMA WAHAKIKISHE KUWA YOTE YANARUDI IKIBIDI HATA KWA KUUZA MALI ZAMISKITI HUSIKA.hata wakipandisha vichaa.
 
Back
Top Bottom