Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 852
Mindhali huyu shekhe mkuu ni wa BAKWATA na yuko close na wagalatia kule serikalini sitoshangaa kama kodi za wananchi zinatumika kumlipia matibabu kule India.
Kama ambavyo serikali isiyo na dini ilivyowalipia mahujaji kwenda Makka basi na hili nalo msije shangaa
Hii siyo fitna lakini kama kuna ukweli kwenye hili then tunalo la kujadili Ijuma ya leo.
Kama mjuavyo watawala wanaongoza BAKWATA wanachaguliwa na serikali hivyo its very simple ku connect the dots
By the way ni mvutaji sigara mkubwa sana huyu..sasa inavezekana sigara nazo zinammaliza
na mwisho zaidi tunaomba C.V yake
wasalaam
Kama ambavyo serikali isiyo na dini ilivyowalipia mahujaji kwenda Makka basi na hili nalo msije shangaa
Hii siyo fitna lakini kama kuna ukweli kwenye hili then tunalo la kujadili Ijuma ya leo.
Kama mjuavyo watawala wanaongoza BAKWATA wanachaguliwa na serikali hivyo its very simple ku connect the dots
By the way ni mvutaji sigara mkubwa sana huyu..sasa inavezekana sigara nazo zinammaliza
na mwisho zaidi tunaomba C.V yake
wasalaam