Ukweli unauma muacheni shehe wa watu aseme ya moyoni kuwakilisha watu wake. Wenye nchi wakiona kunahaja ya kumdhibiti tutasikia tu.
Huyu Sheikh kavimbiwa Amani.Anafikiri Serikali ni kitu cha mchezomchezo.Watu wanahangaika kujenga nchi yeye anahangaikia kuibomoa.