Mmexico
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 369
- 328
Kama nchi ni makosa kuchaguana kwa vigezo vya kidini.acheni fyongo, NSSF ilivokuwa na arround 30% muslims mlilalamika mpaka ikawa kero, leo hii rais anachagua 90% christians mnajifanya hamuoni! Tuna wajibu wa kusema ya moyoni pia sio tufe na tai shingoni
JPM aache udini ktk chaguzi zake
Utendaji kazi, Elimu na nidhamu lazma vitangulizwe kwanza.
Yani leo uniwekee Prof Makame Mbawala hapa na Mwijage, nimchague mmoja awe wazir wangu Wa Afya/Elimu.
Na Mimi Kama Rais nimchague Mwijage kisa tu ni mkristu mwenzangu.
Au
Hapa Lukuvi na kule Makamba Jr kuwa wazir wa ardhi, Nimchague Makamba kisa ni mwenzangu katika imani.
Nitakuwa nawakosea sana watanzania wenzangu.