QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu wana JF, kuna taarifa kuwa katika mkoa wa Mtwara eneo la Msimbati yako mafuta yanachimbwa na wachimbaji wana helkopta tano na wanaishi Dar es Salaam na wanaenda Mtwara na kurudi. Mafuta yanayochimbwa hayawanufaishi watanzania hata kidogo. inasemekena kuwa wachimbaji husafirisha mafuta kwa njia haramu na si serikali wala wakazi wa maeneo hayo haifaidiki kwa njia yoyote. Pia wachimbaji wamekuwa wanazuia mtu yeyote kuingia sehemu ya uchimbaji na waliojaribu wamepoteza maisha.
sasa ni namna gani tunaweza kupata taarifa zaidi?
Viongozi gani wanahusika na uhalamia huu unaoifilisi nchi?
Kwa walioko mtwara, tunaweza kupata taarifa zaidi?
nawasilisha
sasa ni namna gani tunaweza kupata taarifa zaidi?
Viongozi gani wanahusika na uhalamia huu unaoifilisi nchi?
Kwa walioko mtwara, tunaweza kupata taarifa zaidi?
nawasilisha