Serikali inajua kuwa ina raia Afrika Kusini?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,590
22,200
Afrika Kusini hivi sasa kunavurugu dhidi ya raia wa kigeni, nchi zinazothamini raia wake huwatahadharisha na kuwashauri nini cha kufanya huku ikifuatilia kwa karibu usalama wao. Jambo linalotia mashaka ni ukimya wa serikali yetu juu ya usalama wa ndugu zetu walioko huko!
Swali langu ni nini faida ya kuugharamia ubalozi wetu huko kama hauwezi kuwahudumia ndugu zetu?
 
halafu hii s.afrika imekuwa na vitendo kwa miaka sasa, so ni muda wa kuwachallenge ikiwa ni pamoja na kusitisha mahusiano ya kidiplomasia hata kama wanadai wanaofanya vitendo hivyo ni wahuni.
 
Ulimwambia jiwe hii kitu atajibu kama alivyojibu kipindi ndugu zetu walipoteswa msumbiji..
Atakwambia "Tz tuna rasilimali za kutosha hao wanaenda huko nchi za nje kufanya nini? Waje kufanya kazi nchini"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sina imani kama inafatilia, huwa waacha mambo yaende hivyo hivyo labda itokee kifo ndo utawaona mstari wa mbele kuomboleza

ila sasa macho na masikio ya serikali nzima ni ziara ya mtwara huko
 
Afrika Kusini hivi sasa kunavurugu dhidi ya raia wa kigeni, nchi zinazothamini raia wake huwatahadharisha na kuwashauri nini cha kufanya huku ikifuatilia kwa karibu usalama wao. Jambo linalotia mashaka ni ukimya wa serikali yetu juu ya usalama wa ndugu zetu walioko huko!
Swali langu ni nini faida ya kuugharamia ubalozi wetu huko kama hauwezi kuwahudumia ndugu zetu?

Ulipokwenda s.africa uliripoti ubalozini kuwa upo hapo kabla ya vurugu au ulienda bila kuripoti unataka ubalozi ukufanyie nini?
 
Afrika Kusini hivi sasa kunavurugu dhidi ya raia wa kigeni, nchi zinazothamini raia wake huwatahadharisha na kuwashauri nini cha kufanya huku ikifuatilia kwa karibu usalama wao. Jambo linalotia mashaka ni ukimya wa serikali yetu juu ya usalama wa ndugu zetu walioko huko!
Swali langu ni nini faida ya kuugharamia ubalozi wetu huko kama hauwezi kuwahudumia ndugu zetu?
Kabudi yuko bize na Lissu hayo atayajua wapi.
 
Hii nchi ya Tanzania sasa hivi issue kama hizo hawawezi kuzijua ama kufuatilia, tuna shida sana rais wetu sio diplomat so ni ngumu kujua jinsi ya kudeal na hivi vitu na bahati mbaya zaidi juzi amemteua Kabudi ambaye naye sio figure ya kimataifa wish angekuwa bado Mahija angalao angefanya kitu ila kwa Kabudi analala anawaza jinsi ya kudeal na Lissu basi na ndicho kikuu alichoteuliwa
 
usalama wa mtanzania upo akiwepo Tanzania , pengine huko ni kuishi kulingana na mahitaji ya muda. kama wanaona usalama wao mashakani na ni watanzania , milango ipo wazi kurejea nchini ila kama walibadili uraia , imekula kwao wataishia kuwa wakimbizi
 
Katika taifa ambalo halipendi wanainchi wake ni Tanzania.
Kama unabisha mulize dada mmoja alitekwa na al shabab walikua wakiwasiliana na ubalozi wenu lakini hata taarifa kufikisha tu kwenye familia ya bidada ilishindikana.
Mpk walipo amua wenyewe kumwachia mateka baada ya miaka 7 hv.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
halafu hii s.afrika imekuwa na vitendo kwa miaka sasa, so ni muda wa kuwachallenge ikiwa ni pamoja na kusitisha mahusiano ya kidiplomasia hata kama wanadai wanaofanya vitendo hivyo ni wahuni.
True south ni sehemu hatari sana kuishi ukiwa mgeni
 
*WARNING*
*WARNING*

*TO ALL FOREIGNERS IN SOUTH AFRICA *

*We are giving you a month to pack all you bags and leave South Africa, whether you have working permits or not. Just wait for us to vote on the 8th of May, then on Monday the 13th of May we will close the roads, stopping all the taxis every foreign nationals will be dealt with accordingly.*
*What happened in KZN are just highlights of what we are going to do on the 13th of May . We are kind enough to give you more than a month time to pack yours and go to your own countries peacefully. *
*We will stop all cars taxis, buses, trains, we are going to enter work places, contract sites, security sites, seaching every one , Anyone found without South African ID will be dealt with mercylessly.*
*It's been long we sent our request to the government , but it seems our request is being ignored , now we will deal with it our own way.*
_*SO PLEASE BE WARNED AND DO AS I SAY AND SAVE YOUURSELF AND YOUR FAMILIES *_

*_ DO NOT SAY WE DIDN'T WARN YOU. PACK YOURS AND GO BACK TO YOUR COUNTRIES. WE DONT WANT ANY KWEREKWERES ANYMORE, WE ARE TIRED , ENOUGH IS ENOUGH!*_


BE WARNED!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sina imani kama inafatilia, huwa waacha mambo yaende hivyo hivyo labda itokee kifo ndo utawaona mstari wa mbele kuomboleza
ila sasa macho na masikio ya serikali nzima ni ziara ya mtwara huko
Kazi ya mabalozi wetu nchi za nje si kuonesha suti toka Tanzania bali kutatua changamoto zinazowakuta wananchi wao huko waliko.
 
Back
Top Bottom