Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Mariam Lukandamila (kulia), mkazi wa Kipawa, Jijini Dar es Salaam, akipokea hundi yake ya Sh. milioni 21 kutoka kwa afisa Malipo, Simon Chuwa, kama fidia ya nyumba yake iliyovunjwa kupisha ujenzi wa uwanja wa Ndege wa kimataifa ya Julius Nyerere.