#COVID19 Serikali inajinasua gharama za Chanjo ya UVIKO-19 kupitia Askofu Gwajima?

troiker

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
1,427
2,262
Nahisi serikali imeona kitanzi cha gharama za chanjo ilichoingia pupa,

Ifahamike kwa nchi ya Tanzania madhara ya uviko-19 si makubwa kulingania na wenzetu duniani ,kiashiria ni mapokeo ya chanjo ,mpaka sasa imedoda,haiwezekani vifo vingekuwa vya kutisha mpaka sasa chanjo milioni moja hazijaisha.tuko milioni 60 na ushee.
Wakubwa wa dunia kupitia taasisi zao wametuambia tujiunge mpango wa covax ili tupokee chanjo za kutosha kwa gharama zetu wenyewe huku virus hao wakibadilika kila uchao.

Hivyo serikali imeshutuka hilo la gharama kubwa za chanjo.

Kwani chanjo zikidoda serikali itakuwa na sababu ya kukwepea

Utaagizaje mzigo usio toka ?,hapa serikali imepiga bao la kisigino maridadi sana ,lile neno hiyari liendelee daima tu.

Gwajima aachiwe uwanja mpana kuziikaanga hizi chanjo mwendo kasi kwa kigezo cha uhuru wa kutoa maoni ambapo hata huko kwa wezetu yanafanyika,wanaoipinga hakuna sehemu wanayoitwa kuhojiwa,
Kadhalika wanaopigia chanjo promo pia wakazane kuitafutia soko ,
Intelijinsia yangu inaniambia kwamba Gwajima na wengine mfano wake ni muhimu kuikwepesha serikali na gharama za kulazimisha za wahuni wa huko duniani
 
Mafua yamekuwepo tangu enzi na enzi.
Vivyo hivyo mafua makali kama COVID-19.
Maendeleo ya tecknolojia na kiuchumi yamefanya COVID-19 itangazwe zaidi na wengine watumie kama fursa ya kiuchumi.
Ikumbukwe kuwa asilimia kubwa sana ya watu duniani ni wajinga wanafuata upepo.
 
Kama tutaagiza serious kwa watanzania wote ni zaidi ya trion 6

Hapana nasimama na Gwajima hizi pesa Bora tujenge reli aisee
 
Inawezekana,serikali zote duniani huendeshwa kwa usiri pia ,ili kukwepa na kujinasua baadhi ya maeneo
 
Nahisi serikali imeona kitanzi cha gharama za chanjo ilichoingia pupa,

Ifahamike kwa nchi ya Tanzania madhara ya uviko-19 si makubwa kulingania na wenzetu duniani ,kiashiria ni mapokeo ya chanjo ,mpaka sasa imedoda,haiwezekani vifo vingekuwa vya kutisha mpaka sasa chanjo milioni moja hazijaisha.tuko milioni 60 na ushee.
Wakubwa wa dunia kupitia taasisi zao wametuambia tujiunge mpango wa covax ili tupokee chanjo za kutosha kwa gharama zetu wenyewe huku virus hao wakibadilika kila uchao.

Hivyo serikali imeshutuka hilo la gharama kubwa za chanjo.

Kwani chanjo zikidoda serikali itakuwa na sababu ya kukwepea

Utaagizaje mzigo usio toka ?,hapa serikali imepiga bao la kisigino maridadi sana ,lile neno hiyari liendelee daima tu.

Gwajima aachiwe uwanja mpana kuziikaanga hizi chanjo mwendo kasi kwa kigezo cha uhuru wa kutoa maoni ambapo hata huko kwa wezetu yanafanyika,wanaoipinga hakuna sehemu wanayoitwa kuhojiwa,
Kadhalika wanaopigia chanjo promo pia wakazane kuitafutia soko ,
Intelijinsia yangu inaniambia kwamba Gwajima na wengine mfano wake ni muhimu kuikwepesha serikali na gharama za kulazimisha za wahuni wa huko duniani
Achilia mbali intelligensia hata pua tu ukiitega vizuri inanusa 'jambo'.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kama tutaagiza serious kwa watanzania wote ni zaidi ya trion 6

Hapana nasimama na Gwajima hizi pesa Bora tujenge reli aisee
Chanjo ni biashara chafu ya wazungu na nq viongozi mafisadi wa africa huyu mama mzenji kapewa shea
 
Back
Top Bottom