NSSF ilikuwa wainunue Kiwira kwa shilingi 1 toka serikalini ..waziri wa Usiku aka NGELEJA akaamua kuwapa wa China
NSSF waliandaa business plan ya kupanua pipeline mpya ya gesi toka Songosongo...leo tunasoma kuwa waziri wa usiku kaamua wapewe waChina
sasa inaonekana NSSF kazi yao kuandika business plans kisha waziri wa usiku anatuma watu kwenda pale kwa akina Kidula na kisha wanazipeleka huko Uchina
naona hii ni nchi pekee duniani isiyotaka wazalendo wafanye kazi yoyote ile
Tenda za constrction zote sasa hizi serikali inawapa wa China kuanzia barabara mpaka majengo...ma contractor wazalendo wanafunga makampuni
I wouldnt be surprised kuskia leseni za uvuvi zote zinapewa exclusively wachina
NSSF waliandaa business plan ya kupanua pipeline mpya ya gesi toka Songosongo...leo tunasoma kuwa waziri wa usiku kaamua wapewe waChina
sasa inaonekana NSSF kazi yao kuandika business plans kisha waziri wa usiku anatuma watu kwenda pale kwa akina Kidula na kisha wanazipeleka huko Uchina
naona hii ni nchi pekee duniani isiyotaka wazalendo wafanye kazi yoyote ile
Tenda za constrction zote sasa hizi serikali inawapa wa China kuanzia barabara mpaka majengo...ma contractor wazalendo wanafunga makampuni
I wouldnt be surprised kuskia leseni za uvuvi zote zinapewa exclusively wachina