JembeNaNyundo
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 532
- 646
Baada ya maslahi ya watumishi kutopandishwa kwa muda mrefu, na wengi wao wakiwa katika vitengo wasivyoweza kula kwa urefu wa kamba zao; watumishi wengi wamekuwa wakiibia muda serikali au waajiri wao ama kwa kutofanya majukumu wanayopaswa kufanya ndani ya muda wa kazi au kutofanya kazi kwa masaa wanayotakiwa kufanya.