Serikali inahitaji Bilioni 600 kununua Korosho za Mtwara Tu

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,689
22,703
Bado mikoa mingine..

Ni Kweli Serikali inayo reserve ya kufanikisha hili?

Jana nimemsikia mkuu wa Majeshi Mabeyo akisema Jeshi ndio litazoa Na kuzinunua , sidhani kama huo uwezo upo!

Kama upo basi serikali hii haina mpango kazi!

FB_IMG_1541919128000.jpeg
 
Bado mikoa mingine..

Ni Kweli Serikali inayo reserve ya kufanikisha hili?

Jana nimemsikia mkuu wa Majeshi Mabeyo akisema Jeshi ndio litazoa Na kuzinunua , sidhani kama huo uwezo upo!

Kama upo basi serikali hii haina mpango kazi!

View attachment 929527
Mungu jalia, pasa za PSSSF zitachotwa. Wastaafu hampati penshemi mwezi huu! Naogopa hilo kutokea! Huko haitaji bunge ni kuchota tu!
 
Si amesema zipo wasiwasi uko WAP......àu akinunua anaenda kuzila Ikulu si zinaenda sokoni?
 
Kumbuka iyo ni ya kununulia tu, bado ya kusombea, kupakia, kushusha, kulipa posho wanajeshi. Kutunzia, kulinda. Etc. Alafu zinaweza nunuliwa tani 200,000 zikafika dar tani 100,000. Watz tunawajua kwa wizi. Yan huu mradi kunawatu watajenga magorofa we subiri muone.
 
Kumbuka iyo ni ya kununulia tu, bado ya kusombea, kulipa posho wanajeshi. Kutunzia, kulinda. Etc. Alafu zinaweza nunuliwa tani 200,000 zikafika dar tani 100,000. Watz tunawajua kwa wizi. Yan huu mradi kunawatu watajenga magorofa we subiri muone.
Overhead Cost sijaziweka bado , asee
 
Si amesema zipo wasiwasi uko WAP......àu akinunua anaenda kuzila Ikulu si zinaenda sokoni?
Bora ziliwe tu Ikulu. Kuzisafirisha India ni hasara. Bora wazile kama sisi tunavyotumia "mbaazi" kwa mboga. Wangekuwa hawapo karibu na ferry, tungewaomba waje wanunue na mbaazi zetu ili wakale na wao, au watuletee samaki sisi tuwape mbaazi.
 
Wewe unawaza kuwa haiwezekani, wenye akili wanaona inawezekana.
Have your mammoth mouth shut.
 
Bado mikoa mingine..

Ni Kweli Serikali inayo reserve ya kufanikisha hili?

Jana nimemsikia mkuu wa Majeshi Mabeyo akisema Jeshi ndio litazoa Na kuzinunua , sidhani kama huo uwezo upo!

Kama upo basi serikali hii haina mpango kazi!

View attachment 929527
kuna ile 1.5tr yetu iliyopigwa....nahisi kuna salio pale.
 
Katika kongamano la kutathmini miaka mitatu ya serikali ya awamu ya tano, Rais Magufuli alitujulisha kuwa haijapata kutokea serikali kuwa na akiba kubwa ya fedha za kigeni, isipokuwa katika utawala wake.
Alisema kuwa Serikali ina $ 5.4 bilioni kama akiba ya Taifa inyotosha kwa miezi sita. Hizi ni kwa ajili ya kununua bidhaa na huduma na pengine kulipa madeni.
Kwa fedha za Kitanzania, kwa thamani ya TzS 2,300 kwa kila Dola moja ya Marekani, ni sawa na $USD 5,400,000,000 × TzS 2,300=TzS 12,420,000,000,000,yaani zaidi ya TzS Trilioni 12 na 400 bilioni. Hizi ni fedha nyingi. Sibishi kwamba hatuna hizo fedha.
 
Ngoja tusubiri jtatu. Hivi wakati serikali itakapokuwa inatafuta masoko, hii korosho kwenye magala si itakuwa inapungua ubora wake? Je kutakuwa na uwezekano wa kupata faida au ni kuonesha ubabe tu kuwa serikali haishindwi kitu?
 
Back
Top Bottom