Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Kama kweli basi nawapongeza!
Nimeambiwa serikali imeanza kuwasimamisha kazi baadhi ya watendaji katika wizara ya maliasili. Na wanalenga kuwaondoa kabisa askari waliohusika na utesaji wa raia.
Katibu mkuu wa wizara ya mifugo pia inadaiwa amepumzishwa lakini yote haya ni kimyakimya.
Tunaomba wana JF mliopo katika maeneo hayo mtupatie mrejesho wa ukweli juu ya hayo
Nimeambiwa serikali imeanza kuwasimamisha kazi baadhi ya watendaji katika wizara ya maliasili. Na wanalenga kuwaondoa kabisa askari waliohusika na utesaji wa raia.
Katibu mkuu wa wizara ya mifugo pia inadaiwa amepumzishwa lakini yote haya ni kimyakimya.
Tunaomba wana JF mliopo katika maeneo hayo mtupatie mrejesho wa ukweli juu ya hayo