rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,450
- 41,816
pata alafu ndo utajua sayansi haidanganyiIvi ukishapimwa na ukajulikana una virusi then ukaenda kupima sehemu nyingine mbali huko; majibu yanawez kuwa same au yatakuwa tofauti.?
pata alafu ndo utajua sayansi haidanganyiIvi ukishapimwa na ukajulikana una virusi then ukaenda kupima sehemu nyingine mbali huko; majibu yanawez kuwa same au yatakuwa tofauti.?
Wako ambao waliamini ni kifua kiuu, homa kali, wamerogwa walijaribu kila njia bila ya mafanikio.Unajuaje kama ni "miwaya" na sio magonjwa mengine kama TB?
Wewe ulikuwa daktari wao?
Umeshawahi kuona mgonjwa wa TB?
Sayansi inadanganya sana na imewadanganya wengi kwa muda mrefu hata kugharimu maisha ya watu.pata alafu ndo utajua sayansi haidanganyi
How many were they?Wako ambao waliamini ni kifua kiuu, homa kali, wamerogwa walijaribu kila njia bila ya mafanikio
haya mkuu bhasi kama unaishi kwenye ulimwengu wa kuamini hakuna kirus wa ukimwi ila kuna kirus cha corona safari njema. Kama unaamini hakuna ukimwi bhasi njoo uwekewe damu ya mgonjwa ambae katest positive.Sayansi inadanganya sana na imewadanganya wengi kwa muda mrefu hata kugharimu maisha ya watu.
VVU ni sayansi ya kilaghai kwa manufaa ya wachache (pseudoscience).
Vipi, na wewe ni daktari?
Umewahi kukiona kirusi cha Ukimwi?
Hehehehe
Mkuu angalia hapo, nadhani wamejibu kiasi ya unachohitajiKuna vijana wengi sana wameajiriwa kwenye vikundi na NG'Os za mradi bandia wa UKIMWI.
Naamini kuna mapesa mengi sana huko ya wafadhili nk.
Na sirikali kumbe inamwagiwa mipesa na mabeberu?
How much? Aisee lazima itakuwa pesa ndefu sanaa!
How can you kill your people without something in
Nimekuuliza scientific facts acha porojo.Dalali mwingine huyu hapa!
Umewahi kukiona Kirusi cha Ukimwi?haya mkuu bhasi kama unaishi kwenye ulimwengu wa kuamini hakuna kirus wa ukimwi ila kuna kirus cha corona safari njema. Kama unaamini hakuna ukimwi bhasi njoo uwekewe damu ya mgonjwa ambae katest positive.
Wewe ni mmojawapo wa makuwadi wa chanjo na ARV.Nimekuuliza scientific facts acha porojo.
Wewe hujawahi Hata kufanyia utafiti kideri cha kuku unaokota theories zisizo na Kichwa Wala miguu unajifanya GT
Kama ingefika miaka Kumi ingekuaje hii michache watu hawaitaji kusumbuu kitu adimu ambacho muumba alimzawadia kwa upendo mkuu kiumbe chake hakika mtegemea Cha nduguye alikufa masikiniHichi kitu kinachoitwa "Virusi vya Ukimwi" kina maajabu yenye kusisimua sana.
Kwanza, hakuna mtu yeyote aliyewahi kukiona Kirusi cha Ukimwi. Sio mwanasayansi wala maamuma...