Serikali inafaidikaje na "mradi" wa UKIMWI?

Kivumishi Kielezi

JF-Expert Member
Nov 1, 2019
1,028
2,448
Hichi kitu kinachoitwa "Virusi vya Ukimwi" kina maajabu yenye kusisimua sana.

Kwanza, hakuna mtu yeyote aliyewahi kukiona Kirusi cha Ukimwi. Sio mwanasayansi wala maamuma.

Pili, kuna watu wanaoitwa waathirika wa virusi vya UKIMWI ambao hakuna hata mmoja wapo aliyeonekana kwamba mwilini mwake kuna virusi vya UKIMWI.

Kinachoonekana mwilini mwao ni "reactions" za chembechembe hai nyeupe za damu. Hizo ndizo hawa wanasayansi uchwara wanazoziita "virusi vya ukimwi".

Kuna watu wengi sana wanaotoa shuhuda kwamba wamelala na watu wanaoitwa "waathirika wa UKIMWI" (VVU) lakini kamwe hawakupata huo unaoitwa UKIMWI.

Wengine ni wanandoa, mmoja ana VVU mwingine hana. Na wanazaa watoto wasio na VVU.

Zikaja dhana mbalimbali za kitapeli kama "discordant couples" and blah blah's.

Kila aliyethubutu kupinga hichi kirusi bandia alishughulikiwa ama kwa kuuwawa au kuharibiwa kisiasa! — mfano mzuri ni Thabo Mbeki.

Hata ukiingia mtandaoni kama google na youtube, kamwe huwezi kukuta machapisho ya kukipinga hichi kirusi. Machapisho yote yameondolewa. Kwanini?

Ubaya ni kuwa, madawa haya yanayoitwa ARV yana madhara makubwa sana ikiwemo moyo kuharibika, figo kufeli, kansa, matatizo ya ngozi, kisukari, mwili kubadilika umbo, kucha kubadilika rangi, kupooza viungo, kuwaka moto miguuni na vifo vya ghafla.

Lakini kamwe, huwezi kusikia madhara haya yakitamkwa hadharani na hawa wanaoitwa "serikali" na "madaktari".

Kuna ajenda gani juu ya huu ugonjwa wenye utata hata wa chanzo chake?

Kama wazungu wameweza kuihadaa dunia nzima kuhusu virusi vya corona, ni nini ambacho kitatufanya tusiamini kuwa walitulaghai kwenye hiki kinachoitwa "kirusi cha Ukimwi"?

Kuna ajenda gani juu ya haya madawa ya ARV yanayotolewa bure? Serikali inapata mgao kiasi gani?

Je, serikali imefanya "conspiracy" na wazungu kama ambavyo wanaendelea kufanya "conspiracy" kwenye corona?

Kwa hakika, naamini serikali inatambua ukweli kuhusu UKIMWI na VVU.

Lakini kwanini? WHY?
 
Unachezea " umeme" wewe! .kwa sisi ambao wanafamilia wameteketea kwa UKIMWI tunasema kaa kwa kutulia.

ARV zina madhara lakini zinasaidia sana kirefusha maisha.vinginevyo tungepukutika sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachezea " umeme" wewe! .kwa sisi ambao wanafamilia wameteketea kwa UKIMWI tunasema kaa kwa kutulia.

ARV zina madhara lakini zinasaidia sana kirefusha maisha.vinginevyo tungepukutika sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
I see
IMG_20210517_201516_781.JPG
 
Hichi kitu kinachoitwa "Virusi vya Ukimwi" kina maajabu yenye kusisimua sana.

Kwanza, hakuna mtu yeyote aliyewahi kukiona Kirusi cha Ukimwi. Sio mwanasayansi wala maamuma...
Nikadhani wewe Umefanya research ukaja na ukweli /solution Kumbe umejisomea tu porojo zisizo na scientific evidence yoyote ndio umezileta hapa.
 
Eti ukisha jua unao ndo unaanza kuishaa teh teh teh ugonjwa wa kisaikolojia uu
Hivi unafikiri ni mchezo kuaminishwa kwamba utakufa kesho kutwa?

Lazima ufe kabla ya hiyo kesho kutwa.... maana sio kwa hicho kihoro utakachopata!
 
Ukweli ni kwamba, ARV zinasaidia kukukatisha maisha.
Ndugu yangu damu chukuchuku yenye HIV bila ARV,huwezi kufananisha na damu yenye HIV inayorutubishwa na ARV.

Uncle wangu kwa muda mrefu anameza ARV,afya iliimarika kufikia hatua akajiona kama hana tena HIV,akaacha kutumia ARV.

Wacha we... lilimkuta jambo...bado kidogo ilikuwa tumzike, kaanza kunywa tena ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ambao tulikuwa tumeshabalehe na kuanza michezo ya kiutu uzima mwanzoni mwa miaka ya 90 tunaelewa jinsi miwaya ilivyokuwa inapukutisha watu na kutesa familia.

Siku hizi vijana wengi ni rahisi kuudharau umeme maana hizo ARV na dawa nyingine zimesaidia sana kuficha makali yake.

Chezeeni corona na muaminishane haipo maana yenyewe ukiipata uwezekano wa kukata moto ni mdogo hasa kwa vijana ila umeme halafu ujidai ni shujaa unagonga tangawizi na malimau, likifumuka utajua kwa nini uliitwa ngoma
 
Ndugu yangu damu chukuchuku yenye HIV bila ARV,huwezi kufananisha na damu yenye HIV inayorutubishwa na ARV.

Uncle wangu kwa muda mrefu anameza ARV,afya iliimarika kufikia hatua akajiona kama hana tena HIV,akaacha kutumia ARV...
Kwa sababu alishakula sumu nyingi za ARV mpaka mwili ukazoea. (addiction).

Ushawahi kuona teja kaacha kula madawa ya kulevya?

Akiacha nini kinampata?

Heheheee
 
Kwa ambao tulikuwa tumeshabalehe na kuanza michezo ya kiutu uzima mwanzoni mwa miaka ya 90 tunaelewa jinsi miwaya ilivyokuwa inapukutisha watu na kutesa familia.
.
Unajuaje kama ni "miwaya" na sio magonjwa mengine kama TB?

Wewe ulikuwa daktari wao?

Umeshawahi kuona mgonjwa wa TB?
 
Bila kugusa medical industry ambayo sina profession nayo
Labda kwenye social-economic advantages:
1. Kuwepo kwa ajira rasmi( specialized works)
2. Serikali kupata ahueni kwa sababu inapata grants kwenye busket fund kupitia Global Fund
3. Wataalam hasa virologists kupata nafasi ya kujifunza zaidi kupitia intergrated projects
4. Warsha na makongamano yanasaidia uhamiaji kupata pesa za visa etc. Hizi zinasaidia na wazabuni kupata fursa

Nimejaribu kuangalia kwa jicho chanya
 
Bila kugusa medical industry ambayo sina profession nayo
Labda kwenye social-economic advantages:
1. Kuwepo kwa ajira rasmi( specialized works)...
Kuna vijana wengi sana wameajiriwa kwenye vikundi na NG'Os za mradi bandia wa UKIMWI.

Naamini kuna mapesa mengi sana huko ya wafadhili nk.

Na sirikali kumbe inamwagiwa mipesa na mabeberu?

How much? Aisee lazima itakuwa pesa ndefu sanaa!

How can you kill your people without something in return?
 
Back
Top Bottom