Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,861
Mkurugenzi wa bodi ya sukari Prof. Kenneth Bengesi amesema serikali ina sukari ya kutosha, na serikali imeshagiza tani 40,000 imeshaingia nchini na imeanza kupakuliwa tangu Aprili 15 bandarini
Pia amewataka wafanya biashara kufuata bei elekezi, na wale watakaokiuka wakigundulika watafutiwa leseni za kuendesha biashara
Amesema serikali haiko tayari kuona watu wake wanapata shida kwa tatizo ambal limetengenezwa na wafanyabiashara. Zaidi ya tani 10000 zitaingia mtaani kuanzia Aprili 17
Pia amewataka wafanya biashara kufuata bei elekezi, na wale watakaokiuka wakigundulika watafutiwa leseni za kuendesha biashara
Amesema serikali haiko tayari kuona watu wake wanapata shida kwa tatizo ambal limetengenezwa na wafanyabiashara. Zaidi ya tani 10000 zitaingia mtaani kuanzia Aprili 17