Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kuna muswada umeandaliwa kwa lengo la kukinyamazisha Chama Cha Wanasheria Tanzania (Tanganyika Law Society). Kwa lengo la kujifunga miguu na mikono katika mambo ya kisheria na kuhakikisha wanakuwa chini ya board.
Hivyo Rais wa TLS hatakuwa na mamlaka ya Chama hicho bali mkurugenzi atakayeajiriwa ndio atapewa nguvu kisheria kuisemea taasisi hiyo.
Hivyo Rais wa TLS hatakuwa na mamlaka ya Chama hicho bali mkurugenzi atakayeajiriwa ndio atapewa nguvu kisheria kuisemea taasisi hiyo.