kwani yanayotokea Iran kwa asilimia kubwa yamesababishwa na malumbano kupitia mtandao upi mtoa mada kama sio Twitter. na vipi je hauoni impact zake??? ukiacha Tanzania..kuanzia kenya na nchi zingine zenye Raia na viongozi Smart, Mtandao wa Twitter ndio reliable source of information. na ndio maana twitter wana word count ili ku limit contents za ku publish. only useful informations have a place in Twitter.Ulimwengu huu wa teknolojia ambapo kuna mambo kama utandawazi na mengineyo unanishangaza sana. Ni wakati ambapo mtu anawe za kuanzisha habari kubwa na kuisambaza.
Turudi kwenye hoja, Suala la RC Makonda na familia yake kuzuiwa kuingia Marekani. Binafsi nimeiona kwenye ukurasa wa Twitter wa Waziri wa Mambo ya Nje Marekani.
Pamoja na habari hizo kusambaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchi na duniani, naomba niulize hivi:
Kwa huku tulipofikia inasikitisha.
- Ndugu wanahabari, mmeshindwa kweli kwenda kwa ofisi ya inayowakilisha serikali ya Marekani (ubalozi) ambapo ndipo RC alipoombea visa?
- Mmeshindwa kupata msemaji mwakilishi mpaka mtoe vyanzo vyenu vya habari kwenye mitandao ya kijamii au vyombo vya nje wakati nyinyi ndio nchi husika?
- Mmeshindwa kumfuata RC Makonda pale Ilala Boma na kuomba azungumzie waraka huo uliosambaa?
- Hamuoni ajabu ofisi wakilishi ya serikali ya Marekani ambayo ndiyo inahusika na kutoa vibali kukaa kimya mpaka sasa?
- Mnapata wapi ujasiri wa kuweka habari kubwa na nzito kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti lako kwa habari iliyoanzia kwenye mitandao ya kijamii?
Ukitaka upepo ubadilike gusa maslahi ya elites-wale wenye nacho... Siku nyingi wanyonge wameongea sana humu kuhusu hizi dhulma lakini hakuna anayewasikiliza. Ila sasa wakina Pompeo wakiongea...wakaanza kuwanyima visa akina Mwanakijiji na wengine kama wao (pole mzee mwenzangu)....wenye nyumba na mapesa huko ulaya....utaanza kuona JF na kwingineko kunabadilika. Kwa sasa kila anayelalamika ni mpiga deal...mda utafika tutaongea lugha moja tuu. Na Pompeo anajua. Mwananchi wa Kazuramimba haendi Ulaya. Wanaoenda wapo na anawajua. Tutaelewana tuu.
Sourcing news from Twitter is not professionalkwani yanayotokea Iran kwa asilimia kubwa yamesababishwa na malumbano kupitia mtandao upi mtoa mada kama sio Twitter. na vipi je hauoni impact zake??? ukiacha Tanzania..kuanzia kenya na nchi zingine zenye Raia na viongozi Smart, Mtandao wa Twitter ndio reliable source of information. na ndio maana twitter wana word count ili ku limit contents za ku publish. only useful informations have a place in Twitter.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndio jibu sahihi.Kwa sababu Magufuli ndiye aliyekuwa akimtuma.
Soma katikati ya mistari mkuu.....Masanja....@Mzee Mwanakijiji kanyimwa viza?