figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Baada ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana Meck sadick kuwataka wale wanao ishi mabondeni kuhama, Tanesco na dawasco wameamua kuwakatia umeme na maji wale wanao ishi mabondeni ili wahame. na kwamba nyumba zote zitabomolewa.
MY TAKE;
Wanasema wamesha waandalia viwanja watakapo hamia, je kila mtu kashagawiwa kiwanja chake? je hivyo viwanja ndo nyumba? je wapangaji waende wapi, wamesha wapa hela ya kupangisha nyumba sehemu zisizo za bondeni?. Mimi naona hapa serikali haitendi haki. Mia
MY TAKE;
Wanasema wamesha waandalia viwanja watakapo hamia, je kila mtu kashagawiwa kiwanja chake? je hivyo viwanja ndo nyumba? je wapangaji waende wapi, wamesha wapa hela ya kupangisha nyumba sehemu zisizo za bondeni?. Mimi naona hapa serikali haitendi haki. Mia