johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,838
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kutokana na harufu ya ufisadi mkubwa wa fedha za Uviko kwenye Halmashauri nchini kote, serikali imeunda tume malumu kufanya uchunguzi.
Source: ITV habari
Source: ITV habari