Serikali imeshusha Thamani na Bei ( Value & Price) ya wana taaluma nchini

LWENYI

JF-Expert Member
Jul 4, 2013
1,784
2,097
Salaam wana jukwaa wenzangu
Moja kwa moja niende kwenye maada

Sote tunajua pamoja na matamko na ushauri mbalimbali wa wanasiasa pamoja na wasomi wengine kuhusu wanataaluna hasa vijana kujiajiri, hakuna wa kupinga kwamba wengi wa watu hao wamefunzwa kuajiriwa, na serikali ndiye muajiri mkuu hapa nchini

Kitendo cha serikali yetu kusitisha ajira serikalini na kufukuza wasiokidhi vigezo katika taasisi zake ni wazi kimeleta madhara makubwa kwenye soko la ajira nchini

Hali ilipofikia hivi sasa kijana mwenye shahada na ufaulu mzuri kabisa sasa hv anaombwa kutoa ujuzi wake katika taasisi za binafsi kwa mpaka chini ya kima cha chini cha mshahara na wanachangamkia kwa wingi ajira za namna hiyo

Je, huu si udhalilishaji wa taaluma na thamani za wataalamu wetu? Je huku si kushusha morali ya watanzania wengi kuwekeza katika elimu za watoto na wajukuu zao? Je serikali imeridhika na hali hii kwa wasomi wa nchi hii?

Ifahamike kuwa Sitaki kuifundisha kazi serikali lakini inauma kuona taaluma hazina tena thamani na hata ukiajiriwa vijana wengi wanaishia kutumikia vitengo na fani ambazo hawakuzisomea hivyo kupunguz ufanusi na uweledi wao. Kwa leo ni hayo tu

Wenu mwananchi wa kawaida.
 
Wanataaluma wenyewe wanagombea kukimbilia bungeni kwenda kusinzia badala ya kufanyia kazi taaluma zao...
 
Umeongea kinyume...!watumishi hasa waadilifu kwa sasa wanaheshima kubwa katika jamii..!Dharau walizokuwanazo wapiga dili sasa kwisha kabisa!
 
Salaam wana jukwaa wenzangu
Moja kwa moja niende kwenye maada

Sote tunajua pamoja na matamko na ushauri mbalimbali wa wanasiasa pamoja na wasomi wengine kuhusu wanataaluna hasa vijana kujiajiri, hakuna wa kupinga kwamba wengi wa watu hao wamefunzwa kuajiriwa, na serikali ndiye muajiri mkuu hapa nchini

Kitendo cha serikali yetu kusitisha ajira serikalini na kufukuza wasiokidhi vigezo katika taasisi zake ni wazi kimeleta madhara makubwa kwenye soko la ajira nchini

Hali ilipofikia hivi sasa kijana mwenye shahada na ufaulu mzuri kabisa sasa hv anaombwa kutoa ujuzi wake katika taasisi za binafsi kwa mpaka chini ya kima cha chini cha mshahara na wanachangamkia kwa wingi ajira za namna hiyo

Je, huu si udhalilishaji wa taaluma na thamani za wataalamu wetu? Je huku si kushusha morali ya watanzania wengi kuwekeza katika elimu za watoto na wajukuu zao? Je serikali imeridhika na hali hii kwa wasomi wa nchi hii?

Ifahamike kuwa Sitaki kuifundisha kazi serikali lakini inauma kuona taaluma hazina tena thamani na hata ukiajiriwa vijana wengi wanaishia kutumikia vitengo na fani ambazo hawakuzisomea hivyo kupunguz ufanusi na uweledi wao. Kwa leo ni hayo tu

Wenu mwananchi wa kawaida.
kuwa na gpa ya first class haitoshi,ukiwa vizuri utatafutwa tu,tena mpaka unakimbia kazi, lengo la elimu ni kuelimika sio kuajiriwa pekee.
serikali si mwajiri mkubwa nchini ukizingatia kuwa idada kubwa ya watumishi wako sekta binafsi, labda tukumbushane ajira za serikali zinategemea watumishi wafe ,wastafu, wafukuzwe kazi ,wasimaqmishwe kazi au kuanzishwa idara nyingine mpya nje ya hapo hakuna ajira mpya.
idadi ya wanachuo wanaograduate na idadi ya waajiriwa wanaostafu havina uwiano,kuthibitisha hilo watu laki moja wanaomba ajira kwa nafasi elfu tano au mia moja!!!
 
Back
Top Bottom