Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,097
- 34,027
Huu ni UPUMBAVU MTUPU, sasa nini sababu ya kusoma na kumiliki vyeti halali?Kwa hio tufoji vyeti?
Hivi una akili timamu?
Huu ni UPUMBAVU MTUPU, sasa nini sababu ya kusoma na kumiliki vyeti halali?Kwa hio tufoji vyeti?
Hivi una akili timamu?
Pengine hana vyeti ila anatumia uzoefu alionao baada ya kuajiriwa kwa kutumia vyeti fekiACHA WIVU DOGO. KUNA JAMAA ALIFUKUZWA KAZI WAKATI KILA MWAKA ALIKUWA ANAIBUKA MFANYAKAZI BORA.
KUNA DOGO MMOJA ALIKUWA DEREVA MAKINI SANA HAJAWAHI HATA KUPATA AJALI, MSAFI, MSTAARABU, ANAWAHI KAZINI, ANATUNZA SIRI ZA OFISI, ANATUNZA GARI LILILONUNULIWA NA KODI ZA WANANCHI ILA ALITUMBULIWA. LEO HII ANAENDESHA BASI KWA RAHA ZAKE. SASA JIULIZE KAMA CHETI FEKI MBONA HAANGUSHI ABIRIA?
Wewe ndio umeongea point.Ukisoma huu uzi ndio utajua wabongo walivyo na roho mbaya.
Mimi nashauri wenye vyeti feki warudishwe au walipwe stahiki zao pia vijana wasio na ajira nao wapewe kazi.
Uhaba wa watumishi serikalini ni mkubwa mno. Kuna shule ina wanafunzi 500 halafu walimu 5. Ukimtoa mwalimu mkuu wanabaki 4.
Mimi sijamwongelea Mwendazake, Huyo ameshakufaMwendazake a.k.a shujaa wa Africa alikuwa na PhD feki ili tulitaka tumbakize Ikulu hadi 2050.
Wote kupata haiwezekani mkuuWewe ndio umeongea point.
Hakuna haja ya kuharibiana ili mwingine apate ugali.
Tanzania hatujafikia huko
Hao waliorudishwa sio vyeti feki bali ni wa darasa la sabaWakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Hii nchi nafikiri inaongozwa na watu wenye mtindio wa ubongo,Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Anasikitika kuona kila siku bidhaa zinapanda na kodi zinaongezeka kila siku.Kwani mbowe anasemaje? Na lissu je? na vp kuhusu kigogo?
Ndio mkuu. Kuna watu humu jf hawajui kutofautisha formal na informal education.Pengine hana vyeti ila anatumia uzoefu alionao baada ya kuajiriwa kwa kutumia vyeti feki
Lipi naliaminije?magufuri alivyosema kuwa katoa ajira millioni 8 uliamini?
kama lile hukuliamini, hili waliaminije?
Slavery mentality!Ninazo nusu. Wewe mwenye cheti original umeifanyia nini nchi?
Magofool alikuwa anafukuza wenzie wakati yeye na toto lake Bashite ndio mabingwa wa kufoji.
PhD ya maganda ya korosho wakati hata kutamka sentensi mbili kwa lugha ya malkia hawezi.
R.I.P Ben Saanane.
Bring back Ben Sa8Slavery mentality!
Wewe Gaidi mfuate Gaidi mwenzako Hamza kaburiniBring back Ben Sa8
Halafu mrudishe na hizo dhahabu.
Baada 2025 kuna watu watafungwaWakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Sukuma GangUkisoma huu uzi ndio utajua wabongo walivyo na roho mbaya.
Mimi nashauri wenye vyeti feki warudishwe au walipwe stahiki zao pia vijana wasio na ajira nao wapewe kazi.
Uhaba wa watumishi serikalini ni mkubwa mno. Kuna shule ina wanafunzi 500 halafu walimu 5. Ukimtoa mwalimu mkuu wanabaki 4.
Kwani unataka kusema nafasi zimeisha serikalini?hakuna wanaokufa?wanaostaafu?Kuongezeka idara?Kupanuliwa kwa taasisi au shirika?Wote kupata haiwezekani mkuu
Acha upumbavu,mlifukuza wazee kana kwamba ni wezi eti vyeti feki kumbe ni darasa la saba.Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Haki gani uliyonayo weweKauli ya Majaliwa imefanya jinai isiwe kosa tena, sasa ni halali, kama taifa naona tumeshapoteza muelekeo, hao kwa kuwatendea haki wangetakiwa kulipwa stahiki zao then wawapishe vijana wenye vyeti halali, lakini sio kuwarudisha kazini wakazibe nafasi za wenye haki.