Serikali imeshindwa kuajiri vijana wenye vyeti halali, inarudisha kazini wenye vyeti feki

ACHA WIVU DOGO. KUNA JAMAA ALIFUKUZWA KAZI WAKATI KILA MWAKA ALIKUWA ANAIBUKA MFANYAKAZI BORA.

KUNA DOGO MMOJA ALIKUWA DEREVA MAKINI SANA HAJAWAHI HATA KUPATA AJALI, MSAFI, MSTAARABU, ANAWAHI KAZINI, ANATUNZA SIRI ZA OFISI, ANATUNZA GARI LILILONUNULIWA NA KODI ZA WANANCHI ILA ALITUMBULIWA. LEO HII ANAENDESHA BASI KWA RAHA ZAKE. SASA JIULIZE KAMA CHETI FEKI MBONA HAANGUSHI ABIRIA?
Pengine hana vyeti ila anatumia uzoefu alionao baada ya kuajiriwa kwa kutumia vyeti feki
 
Ukisoma huu uzi ndio utajua wabongo walivyo na roho mbaya.

Mimi nashauri wenye vyeti feki warudishwe au walipwe stahiki zao pia vijana wasio na ajira nao wapewe kazi.

Uhaba wa watumishi serikalini ni mkubwa mno. Kuna shule ina wanafunzi 500 halafu walimu 5. Ukimtoa mwalimu mkuu wanabaki 4.
Wewe ndio umeongea point.
Hakuna haja ya kuharibiana ili mwingine apate ugali.
Tanzania hatujafikia huko
 
Mwendazake a.k.a shujaa wa Africa alikuwa na PhD feki ili tulitaka tumbakize Ikulu hadi 2050.
Mimi sijamwongelea Mwendazake, Huyo ameshakufa

Ninachohoji ni maamuzi ya Serikali kurudisha watu wasio na vyeti halali serikalini

Huu ni Ujinga na Upumbavu
 
Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Hao waliorudishwa sio vyeti feki bali ni wa darasa la saba

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Hii nchi nafikiri inaongozwa na watu wenye mtindio wa ubongo,
Huku Raisi anatoa matamshi ya udhalilishaji kuhusu dada zetu wacheza Mpira,kwamba Wana matiti yaliolala kwahiyo hawana mvuto,huku waziri wa fedha anasema asiyeweza kulipa tozo aende Burundi.
Hili limama la Ikulu na mimacho yake ya kulegeza,siku hizi linanikela mpaka naona kinyaa kama nimeona kinyesi
 
Ninazo nusu. Wewe mwenye cheti original umeifanyia nini nchi?

Magofool alikuwa anafukuza wenzie wakati yeye na toto lake Bashite ndio mabingwa wa kufoji.

PhD ya maganda ya korosho wakati hata kutamka sentensi mbili kwa lugha ya malkia hawezi.

R.I.P Ben Saanane.
Slavery mentality!
 
Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Baada 2025 kuna watu watafungwa
 
Ukisoma huu uzi ndio utajua wabongo walivyo na roho mbaya.

Mimi nashauri wenye vyeti feki warudishwe au walipwe stahiki zao pia vijana wasio na ajira nao wapewe kazi.

Uhaba wa watumishi serikalini ni mkubwa mno. Kuna shule ina wanafunzi 500 halafu walimu 5. Ukimtoa mwalimu mkuu wanabaki 4.
Sukuma Gang
 
Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Acha upumbavu,mlifukuza wazee kana kwamba ni wezi eti vyeti feki kumbe ni darasa la saba.

Vijana Wana nguvu watafute pesa
 
Kauli ya Majaliwa imefanya jinai isiwe kosa tena, sasa ni halali, kama taifa naona tumeshapoteza muelekeo, hao kwa kuwatendea haki wangetakiwa kulipwa stahiki zao then wawapishe vijana wenye vyeti halali, lakini sio kuwarudisha kazini wakazibe nafasi za wenye haki.
Haki gani uliyonayo wewe
 
Back
Top Bottom