The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao.
Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini.
Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini.
Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.