Akijibu hotuba ya Upinzani ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Bungeni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Januari Makamba amesema wao Serikali hawafanyi kazi kwa maoni ya upinzani,hila mipango ya chama chao.
Hii ni kufuatia hotuba ya kambi ya upinzani kusema kuna maswala ambayo kambi rasmi ya upinzani tulihoji mwaka jana na hamjayafanyia kazi. na hivyo kambi rasmi ya upinzani inaitaka ipate ripoti ya utekelezaji (progressive report).
Hakijibu hoja hiyi Makamba akajigamba kwamba wao hawafanyi kazi kwa maoni ya upinzani.
Hii ni sawa na kusema hatutaki maoni ya wananchi kwani, Kambi Rasmi ya Upinzani ina wabunge 49 ambao wanawakilisha wananchi...hivyo kukataa kufanya kazi kwa maoni ya kambi ya upinzani ni kukataa maoni ya wananchi wanao wakilishwa na kambi hiyo.
Tujadili Wakuu!:behindsofa:
Hii ni kufuatia hotuba ya kambi ya upinzani kusema kuna maswala ambayo kambi rasmi ya upinzani tulihoji mwaka jana na hamjayafanyia kazi. na hivyo kambi rasmi ya upinzani inaitaka ipate ripoti ya utekelezaji (progressive report).
Hakijibu hoja hiyi Makamba akajigamba kwamba wao hawafanyi kazi kwa maoni ya upinzani.
Hii ni sawa na kusema hatutaki maoni ya wananchi kwani, Kambi Rasmi ya Upinzani ina wabunge 49 ambao wanawakilisha wananchi...hivyo kukataa kufanya kazi kwa maoni ya kambi ya upinzani ni kukataa maoni ya wananchi wanao wakilishwa na kambi hiyo.
Tujadili Wakuu!:behindsofa: