Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Wapendwa WanaJF, kuna tangazo moja la TBC1 halinifurahishi sana, hasa linapodai kuwa Serikali "imesharidhia" kwamba mwaka 2010 wanawake na wanaume ni nusu kwa nusu kwenye nafasi ya uongozi! Swali langu la kwanza, huko nyuma Serikali ilikuwa imekataza uongozi kuwa na idadi ya nusu kwa nusu kijinsia? Pili, ubebwaji wa wanawake kwa nafasi nyeti una tija gani? Km udaktari, hivi plasmodium wanafahamu kwamba daktari anaye-deal nao ni mwanamke, kwa hiyo wata-give in? Nakaribisha mjadala!