Wewe ulitaka tuwe na imani na nani? Acha ubovu wa akili. Tuambieni 24bilioni za chadema kwa miak miwili zimefanya nini? ACT Wazalendo mbona hawajapeleka mahesabu yao kwa CAG? Halmashuri ya Zitto kwa nini imepata hati chafu?Kama title inavyojiekeza
Hivi bado kuna watanzania wanaomshabikia na kuwa na imani na magufuli na CCM yake kwamba wataleta maendeleo ya Nchi hii?
Trilioni 1.5 zimetokomea kusikojulikana ndani ya muda mfupi wa utawala wa huyu Jamaa (Refer to CAG report)
Kitaa hali ya kimaisha haiko vyema kabisa fedha zinatafunwa tu na watawala
Sifa ya dikteta ni kujifanya anapenda wananchi wake kumbe anaiangamiza Nchi
Binafsi simpendi Magufuli chama chake na serikali yake kiujumla
Kaja tu kutuvurugia Nchi yetu kutuongezea madeni,shida na umaskini
Tumpinge kwa nguvu zote anatuharibia taifa letu
Jiandaeni kuinama sasaTumei*ombea!,
Aliyesema wizi wa bilioni 7 Chadema ndio huyo huyo kasema wizi wa bilioni 11 CCM alafu ndio huyo huyo page inayofuata akasema habari za Trillion 1 unusu.Unataka waache kushabikia Magufuli washabikie majizi ya billion 7 chadema?
Ni aibu hivi somo la toa risiti tumia efd machine lina muhusu nani hata hilo nila double standards?!mimi ananiboa kuzuia watu kutoa maoni yao na kukosoa
kuiba ni tabia yao na tushawazoea...am not surprised anymore
Kama title inavyojiekeza
Hivi bado kuna watanzania wanaomshabikia na kuwa na imani na magufuli na CCM yake kwamba wataleta maendeleo ya Nchi hii?
Trilioni 1.5 zimetokomea kusikojulikana ndani ya muda mfupi wa utawala wa huyu Jamaa (Refer to CAG report)
Kitaa hali ya kimaisha haiko vyema kabisa fedha zinatafunwa tu na watawala
Sifa ya dikteta ni kujifanya anapenda wananchi wake kumbe anaiangamiza Nchi
Binafsi simpendi Magufuli chama chake na serikali yake kiujumla
Kaja tu kutuvurugia Nchi yetu kutuongezea madeni,shida na umaskini
Tumpinge kwa nguvu zote anatuharibia taifa letu
Kuna mtu huwa ana niambia kuwa wana jf wengi hawana kitu kichwani leo nimeanza kumuelewa hahahamimi ananiboa kuzuia watu kutoa maoni yao na kukosoa
kuiba ni tabia yao na tushawazoea...am not surprised anymore
Tangu aseme wananchi wafyeke bangi sina imani naye kabisa hata hizi tr 1.5 ...?????
Kwa hiyo dawa JIAMINI mwenyewe maana usipomuamini Magu sasa alternative umuamini nani?Aliyesema wizi wa bilioni 7 Chadema ndio huyo huyo kasema wizi wa bilioni 11 CCM alafu ndio huyo huyo page inayofuata akasema habari za Trillion 1 unusu.
Be careful bro
Usimuamini mtu, kwani lazima uwe unamuamini mtu?Kwa hiyo dawa JIAMINI mwenyewe maana usipomuamini Magu sasa alternative umuamini nani?