Serikali imeondoa karo sh.70, 000/ila vifaa vya mwanafunzi sh, 800, 000/=

ichumu lya

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
2,605
2,729
Watanzania ni wakarimu kweli yaani vifaa vilivyoorodheshwa kwenye form ya mwanafunzi vina thamani ya sh, 800, 000/ alafu tunadanganywa eti elimu bure kwa kuondoa karo sh, 70, 000/ mnapiga makofi kwa ukarimu huu umasikini utawatoa roho yahani badala muondoe sh, 800, 000/ mnaondoa elfu sabini?

Niambie ni kipi kinamzuia mtoto kwenda shule ni elfu sabini au laki nane?

Aliyewaroga WATANGANYIKA yawezekana alikufa na hirizi yake.

Hili ndilo tatizo la wawakilishi wa chama kimoja.

Baada ya maelezo ayo nauliza bado hamjaona umuhimu wa Katiba mpya?
View attachment 2262052
 
Hakuna shule ya kufikia laki 8 imezidi sana laki 5 kwa miaka miwili 5 na 6 ulijumulisha ada na gharama za ziada za shule kama ulinzi, dharura, Afya , mtihani wa necta nk.
 
We jamaa n muongo sana,,zama za kudanganya danganya kila kitu zimeshapita,sasa hivi joining instructions shule zote Tanzania zipo online,hakuna shule yenyewe gharama hata robo ya iyo uliosema,gharama zote hazizidi laki 2.
 
uzi wa dj JF unapotea nenda mitandao mengine unaweza kuwa na muitikio sio hapa
 
Back
Top Bottom