Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Waziri wa mambo ya Ndani Mh.Mwigulu Nchemba amelitaka Shirika la wakimbizi UNHCR kuongeza kasi ya kuwarudisha kwao raia wa Burundi zaidi ya 34,000 walioko kwenye kambi za wakimbizi za Nduta, Nyarugusu na Mtendeli zilizoko mkoani Kigoma ambao waliomba kwa hiari yao kurudishwa.
ITV
ITV